Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Mag3,
Mkuu hakuna mahala nimekataa kwamba Vatican City sio nchi isipokuwa Mwanakjijiji ndiye anakataa kuwa Vatican pia ni taasisi bila kutaka kuelewa hata kama anaelewa tunazungumzia kitu gani. Wabishi ni nyie mnaokataa kukubali kuwepo kwa Taasisi Vatican City isipokuwa serikali hali Vatican wenyewe wameonyesha vitu viwili tofauti..Ebu soma kipande hiki kisha nijulishe umeelewa nini..
Vatican City State is a recognised national territory under international law, but it is the Holy See that conducts diplomatic relations on its behalf, in addition to the Holy See's own diplomacy, entering into international agreements in its regard. The Vatican City State thus has no diplomatic service of its own.
Kwa hiyo.. ukiingia mkataba na uhusiano wa kibalozi na Holy See umeingia mkataba na Vatican City State kwani Holy See inafanya hivyo "on its behalf" a.k.a kwa niaba yake. Safi kabisa. Angalau umeyapata majibu mumo kwa mumo.