Swahili didnt borrow from other languages

Amir

Member
Feb 14, 2011
40
12
There is a misconception that Swahili borrowed some of the terms or words from other foreign language.the truth is those foreign languages actually borrowed from us.

One thing for sure, 100% of Swahili grammar is pure African language.

Second the first language to be spoken in this earth it was African language.eg semitic.nobody must lie to you that semitic is Asian of the Canaanites, Phoenicians or Hebrews or even Arabic.

Semitic is pure African and the best part of it,it was spoken in eastern Africa, Ethiopia, Somalia, Kenya , Tanzania and Sudan,

The people of kush,that means Ethiopia and somalia stuck with the original language of the world with its originality, Amharic,tigrinya and somali languages.those are some of the original semitic language remaining.

Now ,becouse of trade people of the southern part,especially the bantus modernized their language so they can be able to deal with the foreigners and thats how swahili was born

example the word salaam.its pure african.amharic,swahili,arabic.and even hebrew use it

i even found out kiberiti its amharic.

So kiswahili its pure African use terms/words from other African language and didnt borrow from i don t know Hindu or Arabic.

My fellow brothers/sisters you will be surpised to know that arabic is actually pure african language but we were made to believe it originated in middle east.Thats topic for another day.good day
 
Huu uzi ungekuja kwa hicho kiSwahili ingekuwa na mantiki zaidi, maana zaidi, ingewakilisha unachotaka kukieleza kwa upana zaidi.

Vinginevyo nahisi utakuwa ni wale wale wanaofikiri kiSwahili 'hakijitoshelezi'. Kuniumbua tasfiri na ulete uzi huu ukiwa kwa kiSwahili.
 
Huu uzi ungekuja kwa hicho kiSwahili ingekuwa na mantiki zaidi, maana zaidi, ingewakilisha unachotaka kukieleza kwa upana zaidi.

Vinginevyo nahisi utakuwa ni wale wale wanaofikiri kiSwahili 'hakijitoshelezi'. Kuniumbua tasfiri na ulete uzi huu ukiwa kwa kiSwahili.

Hapo kweli.lakini naomba kama kuna mtu aneyeweza fasiri,basi nitashukru kwa sababu nisoweza sema
 
Huu uzi ungekuja kwa hicho kiSwahili ingekuwa na mantiki zaidi, maana zaidi, ingewakilisha unachotaka kukieleza kwa upana zaidi.

Vinginevyo nahisi utakuwa ni wale wale wanaofikiri kiSwahili 'hakijitoshelezi'. Kuniumbua tasfiri na ulete uzi huu ukiwa kwa kiSwahili.
Nimejaribu kutafsiri kwa kutumia Google. Matokeo yake ni kama yafuatavyo:


Kuna mbaya kwamba Kiswahili zilizokopwa baadhi ya masharti au maneno ya kweli za kigeni language.the ni wale lugha za kigeni hasa zilizokopwa kutoka kwetu.

Jambo moja kwa hakika%, 100 wa sarufi ya Kiswahili ni lugha ya Afrika safi.

Pili ya lugha ya kwanza kuwa amesema katika dunia hii ni Afrika language.eg semitic.nobody lazima uongo kuwa Semitic ni Asia ya Wakanaani, Phoenicians au Waebrania au hata ya Kiarabu.

Semitic ni safi Afrika na sehemu bora ya hayo, ni aliyosema katika Afrika mashariki, Ethiopia, Somalia, Kenya, Tanzania na Sudan,

Watu wa kush, kwamba maana ya Ethiopia na Somalia kukwama kwa lugha ya asili ya dunia na uhalisi wake, lugha ya Amharic, Kitigrinya na languages.those Somalia ni baadhi ya lugha ya asili Semitic iliyobaki.

Sasa, kwa sababu ya watu na biashara ya sehemu ya kusini, hasa bantus ya kisasa katika lugha yao ili waweze kuwa na uwezo wa kukabiliana na wageni na THATS jinsi ya kiswahili alizaliwa mfano neno salaam.its african.amharic safi kiswahili, arabic.and hata Kiyahudi matumizi yake i hata kupatikana nje kiberiti Amharic wake.

Hivyo lugha ya Kiswahili Afrika masharti ya matumizi yake safi / maneno kutoka lugha nyingine za Afrika na didnt kukopa kutoka i don t kujua Hindu au Kiarabu.

Ndugu zangu wenzetu / dada utakuwa surpised kujua kwamba Kiarabu ni kweli safi african lugha lakini tulikuwa kufanywa kuamini ni asili katika mada katikati east.Thats kwa siku nyingine day.good
 
Afadhali nijaribu mwenyewe


Nimejaribu kutafsiri kwa kutumia Google. Matokeo yake ni kama yafuatavyo:


Kuna dhana ya kwamba Kiswahili ilikopa baadhi ya masharti au maneno za kigeni. ukweli ni lugha za kigeni hasa zilikopa kutoka kwa kiswahili.

Jambo moja kwa hakika, asilimia 100 za sarufi ya Kiswahili ni lugha za kiafirika

Pili lugha ya kwanza kuandikwa au kuzungumzwa katika dunia hii ni lugha za kiafrika mfano, semitic.usije ukandangaywa kuwa Semitic ni lugha ya bara Asia ya Wakanaani, Phoenicians au Waebrania au hata waarabu.

Semitic asili yake ni Afrika na cha muhimu, inazugumzwa katika Afrika mashariki, Ethiopia, Somalia, Kenya, Tanzania na Sudan,

Watu wa kush, yaani wa ethiopia ,sudan na Somalia bado mpaka leo wanazugumza lugha hii

kwa sababu ya wageni na biashara sehemu ya kusini afrika, wabantu waliweza kutengeza lugha ya kisasa katika lugha zao ili waweze kuwa na uwezo wa kukabiliana na wageni. na hapo ndipo kiswahili kilivumbiliwa

kwa mfano neno salaam ina asili ya kiafirika ..inatumiwa na waamharic, waswahili, waarabu. hata wayahudi

Hivyo lugha ya Kiswahili , masharti ya matumizi yake yametoa maneno kutoka lugha nyingine za waAfrika na hazikukopa kutoka kwaa kiHindu au Kiarabu.

Ndugu zangu / dada zangu mtashangaa mkijua kwamba Kiarabu asili yake ni bara afrika,si kama vile mlivyodagnywa asili ya kiaarabu ni huko arabuni(middle east)lakini hiyo ni mada ya siku nyingine
 
Swahili uses words like Mahakama which is Mahkma in arabic, Shilingi which is Schilling in German, Ijumaa which is aljumaa, Alfajiri which is the same in Arabic so which swahili did not borrows foreign languages words?
 
Swahili uses words like Mahakama which is Mahkma in arabic, Shilingi which is Schilling in German, Ijumaa which is aljumaa, Alfajiri which is the same in Arabic so which swahili did not borrows foreign languages words?

now that where you are wrong,if you read my post,the origin of arabic/hebrew is semitic language,the first written and spoken language in this earth,with the originality in eastern Africa.so if semitic was spoken in eastern africa ,thousand years ago before arabic was formulated .tell me who borrowed from who
 
Lugha ni kitu hai ambacho kinachukua na kutoa kutoka katika jamii iizungukayo. Kuna ukweli pia Kiswahili kimekopa maneno ya kigeni hadi kukifanya kukua kama tunavyokifahamu hivi sasa. Maneno machache tu, tuliyokopa kutoka kwenye lugha zingine ni kama:

Kijerumani:
Schule-shule
klingel-kengele

Kireno-meza
Kiingereza -baiskeli
na kadhalika. Sababu mojawapo ya kukopa maneno ni pale ambapo inapotokea kuwa kitu ama dhana fulani haikuwepo katika jamii, hivyo basi neno la lugha ya kigeni linatumika. Kiswahili pia kimekopesha maneno kwenda lugha nyingine. Kwa mfano neno 'safari' linafahamika kwa kiingereza kuwa ni ziara ya kutembelea mbuga za wanyama.

Hivyo basi, ili lugha ikue, inahitaji kuchukua maneno mapya kutoka lugha zingine, kutokana na mazingira ambayo yapo kwa wakati huo.
 
now that where you are wrong,if you read my post,the origin of arabic/hebrew is semitic language,the first written and spoken language in this earth,with the originality in eastern Africa.so if semitic was spoken in eastern africa ,thousand years ago before arabic was formulated .tell me who borrowed from who

hehehe.. Amir, taratibu kwanza!
Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani la Afrika ya Mashariki.
Neno Swahili ni neno la asili ya Kiarabu Sahil lenye maana ya pwani; sawahil ’’as-sawāhilī’’ (السواحلي) ni wingi wake kwa kumaanisha yote yanayohusiana na pwani, watu au utamaduni wa eneo la pwani.

endelea .. kusoma hapa Historia ya Kiswahili - Wikipedia, kamusi elezo huru alafu rudi jipange njoo na hoja mpya kwa kiswahili.. maneno ya kizungu ya kiwa mengi yannichosha kuyasoma.. tehethe
 
hehehe.. Amir, taratibu kwanza!

endelea .. kusoma hapa Historia ya Kiswahili - Wikipedia, kamusi elezo huru alafu rudi jipange njoo na hoja mpya kwa kiswahili.. maneno ya kizungu ya kiwa mengi yannichosha kuyasoma.. tehethe

makosa kubwa ni hatujui historia yetu sisi waafrika,historia zetu zimefanywa kuandikwa na wazungu,unakuta mambo mengi tunadagywa ili wao wazungukaji wajinufaishe na kuwapotosha waafrika haswa kizazi kitachofuata.

Kiswahili kilikuwepo hata kabla ya hao waaarabu kuja(lakini kumbuka asili ya mwarabu ni afrika ndo maana kiarabu kinazugumwa afrika kuliko popote duniani)

ukweli ni kuwa ukieenda hata congo utakuta wanasema kiswahili aina fulani hivi,sio mwarabu alipeleka kiswahili humo.kiswahili kilikuwa tangu jadi,na waafrika walikuwa wanakiongeo.maana ni lugha asili yake afrika mashariki.

kiswahili ni lugha mchanginiko wa lugha za kiafrika ndo maana unaweza kuelewa lugha nyingi afrika kwa uchache.mbili au tatu hivi ndo lugha za kigeni.
 
now that where you are wrong,if you read my post,the origin of arabic/hebrew is semitic language,the first written and spoken language in this earth,with the originality in eastern Africa.so if semitic was spoken in eastern africa ,thousand years ago before arabic was formulated .tell me who borrowed from who

makosa kubwa ni hatujui historia yetu sisi waafrika,historia zetu zimefanywa kuandikwa na wazungu,unakuta mambo mengi tunadagywa ili wao wazungukaji wajinufaishe na kuwapotosha waafrika haswa kizazi kitachofuata.

Kiswahili kilikuwepo hata kabla ya hao waaarabu kuja(lakini kumbuka asili ya mwarabu ni afrika ndo maana kiarabu kinazugumwa afrika kuliko popote duniani)

ukweli ni kuwa ukieenda hata congo utakuta wanasema kiswahili aina fulani hivi,sio mwarabu alipeleka kiswahili humo.kiswahili kilikuwa tangu jadi,na waafrika walikuwa wanakiongeo.maana ni lugha asili yake afrika mashariki.

kiswahili ni lugha mchanginiko wa lugha za kiafrika ndo maana unaweza kuelewa lugha nyingi afrika kwa uchache.mbili au tatu hivi ndo lugha za kigeni.

dah ... sawa mkuu! shujaa wewe... me i will stick on wikipedia ...

P.S - naona hoja zako hujazipanga vizuri.. ulianza na kiswahili hakija tohoa maneno kutoka kwenye lugha nyingine.. but kwa kukusaidia... kiswahili hakijaletwa na muarabu.. wala mzungu! bali kiswahili ni kibantu!! bantu ni lugha za makabila mbalimbali yanayopatika east na central afrika! ... ili kujikimu na kuwa lugha ya kibiashara kiswahili ilibidi kitohoe maneno mengi kutoka lugha za kigeni... mdau alishakupa mfano rejea post # 8.

utajiuliza kwanini maneno mengi ya kiarabu ndiyo yametawala .. simply bcz ndugu zetu hawa ndio walikuwa maarufu kwa biashara ya utumwa... na ndio maana unaambiwa kiswahili standard based in unguja! The Swahili: reconstructing the ... - Google Books .

Inshort kiswahili ni kibantu si kiarabu.. but kiswahili tumetohoa maneno mengi toka lugha nyingine...

NB. nakumbuka kipindi nafanya NECTA form 4 nililitewa swali niandike Insha .."kiswahili si kiarabu bali ni kibantu" mkuu ile insha ilipata tabu!! .. nakushauri rejea na soma kuhusu bantu langauge na connection yake na kiswahili...
 
dah ... sawa mkuu! shujaa wewe... me i will stick on wikipedia ...

P.S - naona hoja zako hujazipanga vizuri.. ulianza na kiswahili hakija tohoa maneno kutoka kwenye lugha nyingine.. but kwa kukusaidia... kiswahili hakijaletwa na muarabu.. wala mzungu! bali kiswahili ni kibantu!! bantu ni lugha za makabila mbalimbali yanayopatika east na central afrika! ... ili kujikimu na kuwa lugha ya kibiashara kiswahili ilibidi kitohoe maneno mengi kutoka lugha za kigeni... mdau alishakupa mfano rejea post # 8.

utajiuliza kwanini maneno mengi ya kiarabu ndiyo yametawala .. simply bcz ndugu zetu hawa ndio walikuwa maarufu kwa biashara ya utumwa... na ndio maana unaambiwa kiswahili standard based in unguja! The Swahili: reconstructing the ... - Google Books .

Inshort kiswahili ni kibantu si kiarabu.. but kiswahili tumetohoa maneno mengi toka lugha nyingine...

haswa mimi kuandika hii thread ni kwa vile nimesoma baadhi ya post hapo ikisemakana sijui kiswahili kiimekopa wapi na wapi.mimi nasititiza kiswahili hakijakapo bali lugha zingine za kigenini ndo zimekopa maneno mengi ya kiswahili,kama kiarabu na khindi zimefanya kukopa kwa kiswahili,sio kama ulivyfunzwa na wikipedia au sijui google.ushanipata.

hapo kweli kiswahili especially grammar is pure bantu.na sarufi ndo zinazo tengeza lugha.lakini the mother of all semitic languages in lugha za afrika mashariki,amharic,kiswahili,tigrinya na zingenezo

baadaye am out for now i will continue later
 
haswa mimi kuandika hii thread ni kwa vile nimesoma baadhi ya post hapo ikisemakana sijui kiswahili kiimekopa wapi na wapi.mimi nasititiza kiswahili hakijakapo bali lugha zingine za kigenini ndo zimekopa maneno mengi ya kiswahili,kama kiarabu na khindi zimefanya kukopa kwa kiswahili,sio kama ulivyfunzwa na wikipedia au sijui google.ushanipata.

hapo kweli kiswahili especially grammar is pure bantu.na sarufi ndo zinazo tengeza lugha.lakini the mother of all semitic languages in lugha za afrika mashariki,amharic,kiswahili,tigrinya na zingenezo

baadaye am out for now i will continue later


mkuu ninayokwambia mimi nilisoma kidato cha nne! katika historia ya lugha ya kiswahili... kubali kataa kiswahili kimetohoa maneno mengi kutoka lugha nyingine!.... hizi data zako mkuu unazitoa wapi..?!! hebu nifahamishe na mimi nikachungulie....
 
Hakuna lugha kubwa yoyote ambayo haijayohoa.

Hilo neno lenyewe Swahili limetoka katika kiarabu "Suahel" maana yake 'wa pwani"

Mtu yeyote anayejua Kiarabu atakuambia huwezi kutumia Kiswahili kwa muda mrefu bila kutumia maneno yaliyotoka katika kiarabu, mifano michache ni mwalimu, sheria, wilaya, hakimu etc.

Hii hogwash umetoa wapi?

Hebu soma hapa Swahili history
 
Hakuna lugha kubwa yoyote ambayo haijayohoa.

Hilo neno lenyewe Swahili limetoka katika kiarabu "Suahel" maana yake 'wa pwani"

Mtu yeyote anayejua Kiarabu atakuambia huwezi kutumia Kiswahili kwa muda mrefu bila kutumia maneno yaliyotoka katika kiarabu, mifano michache ni mwalimu, sheria, wilaya, hakimu etc.

Hii hogwash umetoa wapi?

Hebu soma hapa Swahili history
maneno mengine ya kiarabu ni:
asali
jirani
harusi
samaki
askari
waziri
 
haswa mimi kuandika hii thread ni kwa vile nimesoma baadhi ya post hapo ikisemakana sijui kiswahili kiimekopa wapi na wapi.mimi nasititiza kiswahili hakijakapo bali lugha zingine za kigenini ndo zimekopa maneno mengi ya kiswahili,kama kiarabu na khindi zimefanya kukopa kwa kiswahili,sio kama ulivyfunzwa na wikipedia au sijui google.ushanipata.

hapo kweli kiswahili especially grammar is pure bantu.na sarufi ndo zinazo tengeza lugha.lakini the mother of all semitic languages in lugha za afrika mashariki,amharic,kiswahili,tigrinya na zingenezo

baadaye am out for now i will continue later

Acha kamba wewe.

Kiswahili hakikuwa na neno gereza kwa sababu kabla ya kuja wareno waswahili hawakuwa na magereza, walivyokuja wareno wakaanza kufunga watu katika "gereza". Kiswahili kikakopa si neno tu la gereza, bali waswahili wakakopa dhana nzima ya kumfunga mtu gerezani.

Check your history, acha ushabiki.
 
Dunia, fikra, kahaba, mahakama, na mengineyo yote ni maneno ya Kiarabu. Kwa mzungumzaji wa Kiswahili, ukisikia Waarabu wanaongea hautatoka kapa kabisa.
 
Yaani nishaitwa mvuta Bangi,kweli jamaa wako gizani

Halafu tena nikama hamnielewi,wacha nijaribu tena

kama mama ya lugha nyingi duniani inaongelewa afrika mashariki mpaka leo
itakuwaje kiswahili kimekopa na hali kiswahili kimeanza hapo hapo afrika mashariki.

hii inaamaniasha kiswahili hakikukopa bali lugha zingine ndizo zimekopa katika kiswahili,sijui tunaelewana hapa

ama kuna watu hapa wanaona sababu kiswahili kina kama lugha za kigeni wanajiona wao ni kama wameendelea sana kama vile ndigu zao ni wareno ama wejerumani na wahindi.upuzi

lazima ujue utakako na historia yako uijue,usifunzwe mambo ya kukudhalilisha hivi ukifikiri uko sawa na hao wazungu,jua wageni hao wako chini yako,sisi ndo tumewafunza lugha na technolojia,tukitengeza pyramid na kuaandika sheria wao walikuwa bado wanaishi kwenye pango.

eti mwingine anasema tulikuwa hatujui gereza,upuzi gani hiyo.

hemu nenda nchi kama fiji mpaka china utakuta watu weusi,ukipata wazee wao na ukiwauliza mbona ni weusi ,watakwambia babu zao walitoka tanganyika,

ikiwa waliweza kusafiri kwenda mpaka china wakati huo miaka maelfu,china wakati huo wanapiga mswaki na brush na washavumbua karatasi ya kuandika na wanafanya biashara afrika kabla hata ya mzungu kujua ramani ni nini.

to be continued
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom