Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
- Thread starter
- #21
Mkuu hengo, hili ni jukwaa la utani na udaku sehemu ya kupunguzia stress za kule kwenye siasa na za maisha. Usichukulie kila kinachowekwa humu ni kweli kimetokea, labda kama hujui maana ya utani.Hapana boss mm si afande wala sijakasilika,ila nashindwa kuelewa mazingira yaliyokuwezesha kusikia maneno yote hayo wanavyotongoza jamaa zetu
Last edited by a moderator: