Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Tukubali tu na mtu kama huyo anakubalije kusafiri kizembe hivyo? Au ndiyo zile tunaita mapenzi ya Mungu au kazi ya Mungu haina makosa??
Tukubali tu na mtu kama huyo anakubalije kusafiri kizembe hivyo? Au ndiyo zile tunaita mapenzi ya Mungu au kazi ya Mungu haina makosa??
Nimeamini siasa ni mchezo mchafu, hivi kweli huyu bwana baada ya kumpoteza mkewe mpenzi ataendelea kuparangana kutafuta vyeo anavyotaka?
Mimi ningeachia ngazi haraka sana.
RIP Suzan
Kwani Sokoine hakuwa na security details?
Yawezakana ni ajali tu..na sii conspiracy!
Wakuu, wasi wasi wangu ni kwamba huyu jamaa asipoangalia watammaliza,, ina maana hakuwa na 'security detail' ....hadi agongane na lorry from nowhere? I mean inakuwaje mtu mzito kama PM awe involved kwenye such a serious accident?
wale wataalam wa mambo ya ulinzi nadhani mnaweza kutupa mwanga kidogo lakini binafsi nina wasi wasi na aina ya ulinzi anayopewa Morgan. By the way ni busara wao kupanda gari moja?
Yaani hana msafara kama PM???
au hawaamini Mapolisi trafiki wakati yeye ni PM?
Kama angekuwa na msafara basi gari la trafiki lingetangulia na king'ora na kusimamisha haya magari yote ya mbele pamoja na hili lori!
RIP Suzan
The AFP news agency quoted a minister in Mr Tsvangirai's Movement for Democratic Change (MDC) party as saying the driver of the lorry had been asleep at the wheel.
Another report said the truck had hit a pothole in the road.
An official at the US embassy in Harare was quoted by AFP news agency as saying the truck belonged to an organisation partnered with the US government aid agency USAID.
"It belongs to a partner of USAID who deliver HIV/Aids [drugs] and other medical supplies," the official told AFP, on condition of anonymity.
All Zimbabwe's roads are in a poor state of repair after years of neglect, say correspondents.
Police escort
But in the news conference, Mr Biti said the accident could have been avoided if a police escort had been provided.
"Logic would have demanded that police escort be provided to the prime minister to warn other traffic and this tragedy could have been avoided," he said.
However, correspondents point out that Mr Tsvangirai was not entirely comfortable with security provided by the new government, relying instead on his own security teams.
Yaani hana msafara kama PM???
au hawaamini Mapolisi trafiki wakati yeye ni PM?
Kama angekuwa na msafara basi gari la trafiki lingetangulia na king'ora na kusimamisha haya magari yote ya mbele pamoja na hili lori!
RIP Suzan
Mbu,
..asante kwa kuuleta hoja za upande wa pili wa shilingi.
..Tsivangarai ni Waziri Mkuu wa Zimbabwe.
..he is in-charge with the day-to-day operations of the government.
..sasa kilichomshinda kutoa order kwa Waziri wa Mambo ya Ndani/Security ku-assign a police escort for his motorcade ni nini?
Nyani Ngabu said:Sasa hiyo police escort for his motorcade ina uwezo wa kuzuia kila aina ya ajali?
NN,
..huo ndiyo unaelekea kuwa mtizamo wa baadhi wa wachangiaji.
..hata Tendai Biti, ambaye ni Waziri wa Fedha wa Zimbabwe na Katibu Mkuu wa MDC, naye ana mtizamo huo.
..halafu wananchi wana haraka ya kulaumu kutokuwepo kwa police escort. wakati huo huo wanasahau kwamba msafara wa Tsivangarai ulikuwa na magari matatu, alilopanda yeye likiwa katikati. sasa hilo gari lilolotangulia lilikuwa linafanya kazi gani?
NB:
..kwa wakati huu nachukulia suala hili kama AJALI, tofauti na wale wanataka tuamini kwamba ni HUJUMA.
The question remain who is behind this?The heavy Nissan truck, registered to the American embassy in Harare, was carrying life-saving drugs for HIV-Aids sufferers..
The question remain who is behind this?
Britain says Tsvangirai crash a genuine accident
English_Xinhua 2009-03-09 16:47:24 Print
HARARE, March 9 (Xinhua) -- The U.S. and British governments, who admitted to jointly owning the Nissan UD truck that side-swiped Zimbabwe Prime Minister Tsvangirai's vehicle on Friday, killing his wife Susan on the spot, have said the crash was a genuine accident, according to The Herald on Monday.
The admission came in the wake of speculation in certain quarters that the crash may not have been an accident.
"We can confirm that the truck was operated by a project jointly funded by the United States and United Kingdom. All indications are that this was a genuine accident," the British Foreign Office said on Sunday.
The Foreign Office said the truck, owned by the United States Agency for International Development, was delivering HIV and Aids drugs for a project co-funded by the U.S. and British governments and run by the Zimbabwe National Family Planning Council, when the accident occurred.
Tsvangirai says crash an accident
Zimbabwean Prime Minister Morgan Tsvangirai has said the car crash that killed his wife was an accident.
..."When something happens, there is always speculation but I want to say in this case, if there was any foul play, it was one in a thousand," Mr Tsvangirai was quoted as telling mourners outside his home in the Zimbabwean capital, Harare.
Referring to his late wife, he said: "It was an accident and unfortunately it took her life."
source; BBC NEWS | World | Africa | Tsvangirai says crash an accident