Suzan Tsvangarai Killed in Car accident, Mr.Tsvangirai Injured..

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Kuna habari kwamba, Mke wa Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Suzan Tsvangirai amefariki kwenye ajali ya gari. Bwana Tsvangirai pia ameumia katika hiyo ajali.

Bado natafuta vyanzo vya habari zaidi. Shukrani.
 
Tsvangirai's wife 'dead in crash'

The wife of Zimbabwe's Prime Minister Morgan Tsvangirai has been killed in a car crash, according to reports.

Susan Tsvangirai was travelling with her husband south of the capital, Harare, when the crash happened. Party sources say his injuries are slight.

Mr Tsvangirai, leader of the Movement for Democratic Change (MDC) party, formed a unity government with President Robert Mugabe last month.

The two had been long-time rivals before agreeing a power-sharing deal.

MDC spokesman Nelson Chamisa told Reuters news agency that Mr Tsvangirai was not in a critical condition.

"We have just heard that there was an accident of sorts involving the president of the party. Injuries, yes, but not critical condition, we are still assessing the actual condition," he said.

Map
The prime minister was on his way to his rural home at the start of the weekend when his vehicle is said to have been involved in a crash near Beatrice.

A second MDC spokesman, James Maridadi, told the Associated Press news agency that the car had been in collision with a lorry. The car was also carrying an aide, he said.

The prime minister was apparently not seriously hurt but was immediately transferred to a clinic in the capital, Harare, the BBC's Peter Biles in Johannesburg says.

The accident comes just two days after Mr Tsvangirai delivered his maiden speech to parliament after being sworn in as prime minister in Zimbabwe's power-sharing government, our correspondent adds.

He and his wife Susan, who were married in 1978,had six children.

The BBC News website's Africa editor Jo Winter says Mrs Tsvangirai always stayed out of the limelight but was equally a source of strength to her husband, when in the past he was charged with treason and assaulted for his opposition to Mr Mugabe.

She accompanied him to court on several occasions.

Source: BBC
 
Wakuu, wasi wasi wangu ni kwamba huyu jamaa asipoangalia watammaliza,, ina maana hakuwa na 'security detail' ....hadi agongane na lorry from nowhere? I mean inakuwaje mtu mzito kama PM awe involved kwenye such a serious accident?

wale wataalam wa mambo ya ulinzi nadhani mnaweza kutupa mwanga kidogo lakini binafsi nina wasi wasi na aina ya ulinzi anayopewa Morgan. By the way ni busara wao kupanda gari moja?
 
Ni msiba, ni pigo lingine kubwa sana kwa Wazimbabwe, Waafrika na wapenda haki na demokrasia duniani kote.

Sidhani kama tuna detail zozote sasa hivi kuanza kufungua the flood gates of conspiracy theories. Inawezekana huyo dereva wa truck ali ignore warning signal zote akavamia gari la Waziri Mkuu. Inawezekana pia ni dereva wa Waziri Mkuu alikuwa ana speed kwenye njia za vijijini (tunaambiwa alikuwa akielekea kwao). Inawezekana hakuwa hata na alert system wala motorcade ikifuatana nae (tunaambiwa alikuwa na aid, hatujui wangapi). Hatujui chochote. Tungesubiri kiduchu.
 
Kwani Sokoine hakuwa na security details?

Yawezakana ni ajali tu..na sii conspiracy!

Lakini kwa hali ilivyo nchini Zimbabwe inawezekana pia ikawa ni conspiracy hasa ukitilia maanani jinsi Mugabe alivyomtesa Tsvangarai na wafuasi wake kwa miaka chungu nzima sasa.
 
Habari zilizopo kwa sasa ni kwamba Mugabe na mkewe wanamtembelea Morgan hospitali kumpa pole
 
Habari zilizopo kwa sasa ni kwamba Mugabe na mkewe wanamtembelea Morgan hospitali kumpa pole

Huyo Mugabe hana hata haya? Mi siamin ikuwa waziri mkuu mzima anasafiri bila security detail in a country like Zimbabwe! Sikubali kuwa hii ni accident ya kawaida, sorry!
 
Huyo Mugabe hana hata haya? Mi siamin ikuwa waziri mkuu mzima anasafiri bila security detail in a country like Zimbabwe! Sikubali kuwa hii ni accident ya kawaida, sorry!

Mkuu, hayo ndo yalikuwa mashaka yangu lakini duru za kiusalama na kisiasa zinasema ni mapema mno kutilia wasi wasi kazi za nje, lakini tusubiri tu tuone
 
Inawezekana huyo dereva wa truck ali ignore warning signal zote akavamia gari la Waziri Mkuu. Inawezekana pia ni dereva wa Waziri Mkuu alikuwa ana speed kwenye njia za vijijini (tunaambiwa alikuwa akielekea kwao). Inawezekana hakuwa hata na alert system wala motorcade ikifuatana nae (tunaambiwa alikuwa na aid, hatujui wangapi). Hatujui chochote. Tungesubiri kiduchu.

15236334.jpg
Susan Tsvangirai was killed instantly and the Prime Minister is said to be in a stable condition in hospital.

The lorry driver has admitted falling asleep at the wheel, according to reports.

source; Morgan Tsvangirai: Zimbabwe Prime Minister's Wife Susan Dies In Car Accident | World News | Sky News
Susan-and-Morgan-Tsvangir-001.jpg
inasikitisha, na kwa hakika kuna wengi wataonyoosha vidole, ...kama ilivyotokea kwa Mar. Sokoine, Mar. Wangwe, Mar. Mbatia, ndugu jamaa na marafiki wengi tu wasokuwa na majina walokumbwa na ajali kama hizo...

Mwenyezi Mungu awarehemu.
 
May the good Lord rest her soul in peace!
Wa-Zimbabwe mtafika tu, msikate tamaa.
 
wale wataalam wa mambo ya ulinzi nadhani mnaweza kutupa mwanga kidogo lakini binafsi nina wasi wasi na aina ya ulinzi anayopewa Morgan.

wanasema; "Mr Tsvangirai still relied on his own security teams and used his own convoys when he travelled, in a sign that he was not entirely comfortable with the security provided by the new government."

... By the way ni busara wao kupanda gari moja?

...kupanda/kusafiri gari moja na mkewe haina shaka ki protokali, ingelikuwa amesafiri gari moja na makamu wa rais, au na rais mwenyewe ndiyo ingelizua utata.

BTW, gari yao ilikuwa 4X4 Landcruiser, kupata ajali na kupinduka mara tatu lazima mwendo pia ulikuwa si mdogo...!
 
BBC news wametangaza kwamba kulikuwa na magari matatu. La Waziri Mkuu lilikuwa katikati. Sasa lori liliacha gari la mbele na kuchagua la katikati.

Nielewavyo Mugabe hana simile katika kuua. Inaaminika sana alimuua General Tongogara. Herbert Chitepo haifahamiki vizuri kama Mugabe alihusika.

Namshuku Mugabe katika "ajali" hii. Kukimbilia kwenda hospitali ni kujiosha, au ni sehemu tu ya kukagua mbona kazi haikufanyika vizuri, na aliuumia kiasi gani.
 
UPDATE: The New York Times has further details on the suspicious nature of the car crash that has taken the life of the wife of Zimbabwe's prime minister, especially given the various attempts on Morgan Tsvangirai's life in the past; however, they report that Zimbabwean officials still refuse to make any insinuations of foul play. From the Times.

Mr. Tsvangirai was heading to his rural home for a Saturday rally when the crash occurred Friday afternoon. From his hospital bed in Harare afterward, he told one of his aides that a large truck driving on the other side of the road had come toward his Land Cruiser, the middle vehicle in a three car convoy. "What he told me was that the truck went for his car," said Dennis Murira, director of public affairs in the prime minister's office. "That's how he put it."
...

The crash, coming less than a month after Mr. Tsvangirai was sworn in as prime minister in a tense and long-negotiated power-sharing government with his rival, President Robert Mugabe, stirred deep suspicions in his party, but most officials were careful to say not enough was known about the collision to make any accusations of foul play.

Also in the Times piece are more details on the actual crash. The Tsvangirais' Land Cruiser is said to have been clipped by the trailer of the truck, causing it to roll over three times before finally coming to a stop, upside down.

From earlier:

Zimbabwe Prime Minister Morgan Tsvangirai and his wife, Susan, were involved in an automobile accident Friday, reports Mail & Guardian. The wreck proved fatal for Susan Tsvangirai, and has left the Prime Minister with injuries, the extent of which is still unknown.

According to a local source speaking to Mail & Guardian, "Mrs. Tsvangirai died on the spot. The accident happened between 4pm [local time] and 5pm but the details are still sketchy."

Further details remain vague, with all that is known coming from Tsvangirai's Movement for Democratic Change (MDC) party spokesmen. MDC Spokesman James Maridadi, speaking to the AP, said, "I can confirm that he was involved in a car accident along Harare-Masvingo road. He has been brought to Harare and doctors are looking at him at a hospital,"

Reuters reports that Robert Mugabe visited Tsvangirai in the hospital and that, so far, the MDC has not suggested an foul play in the incident. The crash is said to have occurred on one of the country's most highly-trafficked and dangerous thoroughfares.

According to AFP News, Tsvangirai's motorcade was headed towards his hometown in Buhera when it was hit by a freight truck:

"The prime minister was travelling to Murambinda (in Buhera) at about 1600 hours when his vehicle was involved in an accident with a haulage truck and the vehicle in which the prime minister was travelling rolled over about three times with its four occupants," Tsvangirai's spokesman James Maridadi said.
...

"The driver of the truck appeared to be sleeping. (Tsvangirai) was travelling to his rural home in Buhera where he was due to hold a rally Saturday," an MDC minister told AFP.


As the BBC notes, the wreck, though tragic on its own merits, is sure to compound with the fragile political setting in Zimbabwe as well:

Her death comes at a very challenging time for the fledgling power-sharing government, our correspondent says, and will only make matters more complicated.

Mr Tsvangirai still relied on his own security teams and used his own convoys when he travelled, he adds, in a sign that he was not entirely comfortable with the security provided by the new government.

And as Reuters points out, Susan Tsvangirai is survived by six children and was married to the prime minister for 31 years, making the incident all the more tragic.
...
 
Nimeitoa hii kwenye forum mojawapo ya wazimbabwe:

Martin Fletcher: Analysis

The two-lane road between Harare and Beitbridge, Zimbabwe's main border crossing to South Africa, is one of the most dangerous I have driven. It is deeply cratered. Speeding, exhaust-belching lorries, which would never pass a British MoT, grotesquely overloaded trucks and trundling donkey carts jostle for position. Vehicles break down frequently. Many have one headlight, or none. At night the road is even more terrifying.

This was where Morgan Tsvangirai narrowly escaped with his life yesterday, and his wife was killed. It may well have been an accident. Scores happen every day on that road. People are regularly injured or killed. The problem is that Robert Mugabe's regime scarcely deserves the benefit of the doubt, especially if reports that the police confiscated MDC film of the accident
scene are true.

Mr Mugabe's henchmen have had his opponents killed in car crashes before. They have spent years trying to silence Mr Tsvangirai through assassination attempts, trumped-up treason charges, death threats, beatings and torture. They are now being asked to share power with this man and for some that is too much to stomach.

Ever since the unity Government was set up in mid-February a shadowy group of military and security chiefs has been conspiring to undermine it. The big question is whether it is acting with the secret blessing of the wily Old Crocodile, or whether Mr Mugabe has simply lost control of his own party.
 
story49c07023326950ec71c309ce9ce24b79.jpg
Namshuku Mugabe katika "ajali" hii. Kukimbilia kwenda hospitali ni kujiosha, au ni sehemu tu ya kukagua mbona kazi haikufanyika vizuri, na aliuumia kiasi gani.

...Loh, hapana mkuu, bado nataka kuamini ROBERT MUGABE alikwenda kutoa pole kwa roho nyeupe tu,... unakumbuka pamoja na biff lote la Mwanawasa kwa Bob, Mwanawasa alipofariki, Bob alikwenda kwa heshima zote kuhani?
maureen_mwanawasa_imagelarge.jpg

...Cruiser imara sana hii, kupinduka mara tatu na bado haijapoteza shape yake? huenda mama Tsvangirai hakufunga mkanda, au labda siku yake tu ilikuwa tayari...
tSVA+CAR.jpg
 

ALeqM5gif-vkqADV6zRDpxhPsrpKfJ8dGw.jpg

1. ...Lorry lililohusika kwenye ajali!
2. ...'bongo' hayo machuma mbele ya Lorry Marufuku!
3. ...note; barabara ilivyo tambarare!​
ALeqM5hCs3N5e6wNtBC_y1fA9dQh8vSZmA.jpg
ALeqM5jqltjhOhorjUel4HRndHeeXd4OVw.jpg
4. ...STOP?
ALeqM5hOK6IQOMHOEH9ATb_BQYI1Og_ewg.jpg
ALeqM5iwJMOgrLOOIaQkCb2r0GJwW0oH-A.jpg
 
Back
Top Bottom