Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 727
Salaam wakuu.
Binafsi Sina lengo la kumharibia siku mtu ,au kumkejeli mtu lakini wakuu suruali kwa wanawake wembamba ni kama wanajidhalilisha
Naelewa kwamba wanataka wapendeze, waende na wakati ,na waonekane wa kisasa lakini Kuna mambo mengine hapana kwa kweli
Samahan kama Kuna yeyote niliemkwaza
Binafsi navutiwa zaidi na wanawake wembamba lakini kwa hili hapana
Binafsi Sina lengo la kumharibia siku mtu ,au kumkejeli mtu lakini wakuu suruali kwa wanawake wembamba ni kama wanajidhalilisha
Naelewa kwamba wanataka wapendeze, waende na wakati ,na waonekane wa kisasa lakini Kuna mambo mengine hapana kwa kweli
Samahan kama Kuna yeyote niliemkwaza
Binafsi navutiwa zaidi na wanawake wembamba lakini kwa hili hapana