dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 190
- Thread starter
- #41
Tafuta yako uipeleke mirembe mbona tunapangiana maishaaah basi itumie kwenda mirembe ukatibiwe mkuu
Tafuta yako uipeleke mirembe mbona tunapangiana maishaaah basi itumie kwenda mirembe ukatibiwe mkuu
kama naiskia lafudhi yako yakingosha. anyway ukikua utaachaTafuta yako uipeleke mirembe mbona tunapangiana maisha
Au yule aliekua anatafuta mpangaji mwenzie kule mbezi beachHii ni mbinu ya utongozaji haina tofauti na ile ya wale jamaa wa "tuma kupitia namba hii'
Unaweza usiamin lakin ndo situation niliyokumbana nayo uamuz nimeufanya sababu ya mazingira yamenibanaHauwezi kua serious,
wanawake wote Hawa duniani zaidi ya billion 5.6 umekosa hata mmoja wa kuzaa nae au kufanya na mahusiano
Kipengele Cha ela nimekitoa alafu ni vibaya sana kumuhukumu mtu kwa kitu kibaya ambacho hajawah kukufanyiaAu yule aliekua anatafuta mpangaji mwenzie kule mbezi beach
Tatizo Nini,Unaweza usiamin lakin ndo situation niliyokumbana nayo uamuz nimeufanya sababu ya mazingira yamenibana
Reply yako ndo imezui ilo suala,Kipengele Cha ela nimekitoa alafu ni vibaya sana kumuhukumu mtu kwa kitu kibaya ambacho hajawah kukufanyia
Kutongoza naweza, Sina matatizo ya kimaumbile Ila wananikataa instant nikitu nimekua nakiexperience more than 15 years sababu sahiv nina 30's nimeona nifanye hivyo ili nisijefikisha 40 Sina mtotoTatizo Nini,
Kutongoza huwez, wanakukataa wenyewe, ukishaanza mahusiano wanakukimbia, una matatizo ya kimaumbile au vipi?
Hebu jibu ili tujue tunakusaidiaje mkuu
Kuna habari gani na hizo milion 100+ 😂
Mtoa mada,Mademu wote hawa ambao tunagonga mpka tunawakimbia mkuu hujazunguka sana Tanzania hii
Dadekii hayupo serious huyo tena kwenye kuzalia wanategeshea mpka mimba jamaa atakuwa ana kasoro fulani mbayaa sanaMtoa mada,
Hawezi kua serious ktk hili
Labda angesema wanagoma kumzalia, ila sio wanamkataa hata kwny mahusiano.