You are truly a wise man.Humu Ni mwendo wa kujidai nyuma ya avatar, tambo, majigambo na kujisifu, hadi rahaaa duh.
Wakuu nilikua nimekaa nikawaza tu aisee, ingawa jambo nililoliwaza halitaweza kutokea kamwe, What if Siku Avatar zetu zikigoma kuonekakana na kuanza kuonyesha sura halisi ya mhusika!! basi nikahisi kua watu wengi wataikimbia na kuiogopa MMU kama ukoma, haswa mabinti!! Big up to your avatar, imekuhifadhi MMU.
Nimewasilisha tu.
huna tofauti na yule bwabwa mwenye mawazo ya kujifungua..
yaani inakuwa hivi MKUU una log in unakutana na picha yako live?
unazima faster kama ni sim au computer unakaaa unawaza ni nani kaisave faster unarudi tena analog in inatokea tena picha yako
Wakuu nilikua nimekaa nikawaza tu aisee, ingawa jambo nililoliwaza halitaweza kutokea kamwe, What if Siku Avatar zetu zikigoma kuonekakana na kuanza kuonyesha sura halisi ya mhusika!! basi nikahisi kua watu wengi wataikimbia na kuiogopa MMU kama ukoma, haswa mabinti!! Big up to your avatar, imekuhifadhi MMU.
Nimewasilisha tu.
huna tofauti na yule bwabwa mwenye mawazo ya kujifungua..
Nataman iwe hivo MMU tubaki wachache tujinafasi