Mfano wako haiendani, Kenya case yao ni tofauti na hii ya hapa. Kenya ukabila mwingi ndio mana alifanya maridhiano lakini hapa TZ ni wizi wa wazi kabisa wa kura na mateso mengi kwa wafuasi wa vyama vya upinzaniMkuu unaleta UANAHARAKATI katika mbio za SIASA ?!!
Ninyi ndio mnaowachanganya wafuasi wenu kwa KUWADHANISHA ya kwamba MAMBO YENU siasani ni sawa na zile harakati za akina Ralph Abernathy,Fannie Lou Hamer,Desmond Tutu na wengineo...
Hivi mnashindwaje kuwa kama wanasiasa wa Kenya akina Raila Odinga,Kenyatta,Musalia Mudavadi Rutto na wengineo...?!!!
Ama hao ni "wanafiki"?!!
Ama hao si WANASIASA wa kweli bali "vibaraka na wachumia tumbo"?!!!
Leo hii mnataka mfanye LOBBYING ZA KIHARAKATI na si za KISIASA ndani ya VYAMA VYA SIASA.....
Boutrous Boutrous Ghali(former UN SG) alipata kusema "ONLY STUPID PEOPLE DO NOT CHANGE THEIR MINDS"
Endeleeni kusubiri UJIO wa VYAMA MALAIKA kutoka MBINGUNI.....
Kijana Muuza Al Kasus
Tandale
Huyu muhuni anaye elekeza ishara ya vidole kwenye pumbu zake ni nani?NIMENG'ATUKA ACT WAZALENDO-SUPHIAN.
Najua wengi mmeumia sana. Mmestaajabishwa mno na maamuzi ya Chama changu cha ACT wazalendo kukubali kuungana na Serikali ya Magufuli na Mwinyi tuliyoitangazia dunia imeunajisi Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2020.
Kitendo cha Chama kukubali kupeleka jina la Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, na kuridhia kuapishwa wabunge wake; naelewa na naona wengi wananchi wenzangu si tu kimewakasirisha kupitiliza ila bali pia kimewatolea imani katika kuwaamini wanasiasa na vyama vya upinzani nchini.
Wengi tangu Jana Desemba 06, 2020 Chama kilipotangaza uamuzi wake huo kupitia Katibu Mkuu, rafiki yangu Ado Shaibu mmeendelea kuniuliza msimamo wangu mtandaoni, kwa simu hadi ana kwa ana kwa kuzingatia mimi kama mwanachama na Mtanzania ninayependa na kuheshimu Haki za Binadamu na Demokrasia, hivyo hakika nasema hampo peke yenu, Masikitiko yenu Watanzania wenzangu ni masikitiko yangu pia.
Uchaguzi ulikuwa batili, uongozi uliopatikana na unaoendelea kupatikana na uchaguzi huu ni batili pia. Haramu haijawahi kuwa halali. SIMPLE MATHEMATICS.
Kwangu mimi Suphian, ndoto yangu kuu ya kuona Taifa langu huru na lenye kufuata misingi ya Haki ni Lulu zaidi ya maslahi ya Chama cha siasa nilipo au yeyote ninayemwamini katika Siasa au nje ya siasa.
Kama nilivyoahidi wakati wa Sakata la Wabunge 19 wa CHADEMA, kwamba siwezi kumumunya maneno pale haki ikipindishwa hata kama na Chama changu, hivyo NATANGAZA: SIUNGI MKONO MAAMUZI YA CHAMA CHANGU.
Hivyo naomba dunia ijue kuanzia Leo Desemba 07, 2020 mimi Suphian Juma Nkuwi rasmi NANG'ATUKA UANACHAMA wa ACT wazalendo ili kusimama na HAKI, kusimama na familia za ndugu waliouawa, kutekwa, kufungwa na kuumizwa wakipigania Uchaguzi Huru, Haki na unaoaminika.
Asante Kiongozi wa ACT wazalendo na Kaka yangu, Zitto Kabwe na Chama kwa ujumla kwa malezi yenu ya KUSIMAMA NA HAKI mliyonipatia tangu mwaka 2015 nilipojiunga nanyi, nawatakia kila kheri.
Suphian Juma,
Aliyekuwa Mgombea Ubunge, ACT wazalendo 2020-2025 Singida Magharibi.
Desemba 07, 2020.
Mbona hawajamuondoa yule mbunge wa Sumbawanga?Kwa sasa upinzani halisi ni CHADEMA tu. Wanaishi katika kile wanachokisema na kukiamini.
CHADEMA wanasema kilichofanyika October, 2020 ni uchafuzi uliovuka mipaka yote ya kidemokrasia toka kuwepo kwa taifa la Tanzania. Na wamesimamia hicho hicho mpaka sasa.
Zitto na yeye Kama kweli ni mwana Mageuzi, inatakiwa ang'atukeHongera sana simamia haki Uhuru na maendeleo
Sasa hivi yeye na Tigray muhuni sanaZitto na yeye Kama kweli ni mwana mageuzi,inatakiwa ang'atuke
Kama ingekuwa imekufa mngekuja na kura za kwenye mabeg?
Mimi sina chama, ila sidhani kama kina ACT anakubaliana na kila kitu kinachoamliwa.Kwa staili hiyo utahama sana.
Kwenye kila taasisi kuna maamuzi yanafanyika Kama kipimo cha uvumilivu wa viongozi wake. Kama wameteleza kwa maoni yako basi penyeza dukuduku lako sio kukimbia kimbia Kama Mbwa Koko.
Ukubwa ni uvumilivu sio umri kwenda mwana kwenda ukifika piga simu utupe mrejesho
Mfano wako haiendani, Kenya case yao ni tofauti na hii ya hapa. Kenya ukabila mwingi ndio mana alifanya maridhiano lakini hapa TZ ni wizi wa wazi kabisa wa kura na mateso mengi kwa wafuasi wa vyama vya upinzani
NIMENG'ATUKA ACT WAZALENDO-SUPHIAN.
Najua wengi mmeumia sana. Mmestaajabishwa mno na maamuzi ya Chama changu cha ACT wazalendo kukubali kuungana na Serikali ya Magufuli na Mwinyi tuliyoitangazia dunia imeunajisi Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2020.
Kitendo cha Chama kukubali kupeleka jina la Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, na kuridhia kuapishwa wabunge wake; naelewa na naona wengi wananchi wenzangu si tu kimewakasirisha kupitiliza ila bali pia kimewatolea imani katika kuwaamini wanasiasa na vyama vya upinzani nchini.
Wengi tangu Jana Desemba 06, 2020 Chama kilipotangaza uamuzi wake huo kupitia Katibu Mkuu, rafiki yangu Ado Shaibu mmeendelea kuniuliza msimamo wangu mtandaoni, kwa simu hadi ana kwa ana kwa kuzingatia mimi kama mwanachama na Mtanzania ninayependa na kuheshimu Haki za Binadamu na Demokrasia, hivyo hakika nasema hampo peke yenu, Masikitiko yenu Watanzania wenzangu ni masikitiko yangu pia.
Uchaguzi ulikuwa batili, uongozi uliopatikana na unaoendelea kupatikana na uchaguzi huu ni batili pia. Haramu haijawahi kuwa halali. SIMPLE MATHEMATICS.
Kwangu mimi Suphian, ndoto yangu kuu ya kuona Taifa langu huru na lenye kufuata misingi ya Haki ni Lulu zaidi ya maslahi ya Chama cha siasa nilipo au yeyote ninayemwamini katika Siasa au nje ya siasa.
Kama nilivyoahidi wakati wa Sakata la Wabunge 19 wa CHADEMA, kwamba siwezi kumumunya maneno pale haki ikipindishwa hata kama na Chama changu, hivyo NATANGAZA: SIUNGI MKONO MAAMUZI YA CHAMA CHANGU.
Hivyo naomba dunia ijue kuanzia Leo Desemba 07, 2020 mimi Suphian Juma Nkuwi rasmi NANG'ATUKA UANACHAMA wa ACT wazalendo ili kusimama na HAKI, kusimama na familia za ndugu waliouawa, kutekwa, kufungwa na kuumizwa wakipigania Uchaguzi Huru, Haki na unaoaminika.
Asante Kiongozi wa ACT wazalendo na Kaka yangu, Zitto Kabwe na Chama kwa ujumla kwa malezi yenu ya KUSIMAMA NA HAKI mliyonipatia tangu mwaka 2015 nilipojiunga nanyi, nawatakia kila kheri.
Suphian Juma,
Aliyekuwa Mgombea Ubunge, ACT wazalendo 2020-2025 Singida Magharibi.
Desemba 07, 2020.
Mmeambulia mbunge mmoja na Lissu ndio kaizika kabisa umebaki mzimu tu
Hapa muhuni nani sasa?.Huyu muhuni anaye elekeza ishara ya vidole kwenye pumbu zake ni nani?
Kwa sasa upinzani halisi ni CHADEMA tu. Wanaishi katika kile wanachokisema na kukiamini.
CHADEMA wanasema kilichofanyika October, 2020 ni uchafuzi uliovuka mipaka yote ya kidemokrasia toka kuwepo kwa taifa la Tanzania. Na wamesimamia hicho hicho mpaka sasa.
Sakata la liitwalo Covid-19 limepunguza uwezo wenu wa kuitafsiri sheria kwa maslahi ya wenye nchi na wananchiKaribu Chadema, chama peke cha upinzani chenye msimamo, na Tumaini la watanzania.
Wataishije mzeeKinachowaumiza vyama vya upinzani ni tamaa na uroho wa vyeo. Hivi kwa mfano Maalim Seif angeukataa umakamu wa kwanza wa rais feki kule zanzibar angekosa nn? VIP halima mdee asingeenda kujiapisha bungeni Maisha yasingeenda? Msimamo ni muhimu Sana kwa taasisi.
Mama D hujanijibu?Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania
Uongozi mtamu banaaaaNdumilakuwili Zitto & Co, kawaingiza mjini.