miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
- Thread starter
- #21
Ha ha ha changu hichoPole sana!
Waone madaktari wa meno nadhani kuna uji uji huwa naona wanajaza ila kwa superglue hiyo sio sehemu yake aisee
Ha ha ha changu hichoPole sana!
Waone madaktari wa meno nadhani kuna uji uji huwa naona wanajaza ila kwa superglue hiyo sio sehemu yake aisee
Asante mkuunenda hospitali mkuu usijaribu kutumia super glue kugandishia jino kwa sababu am really sure ukifanya hivo itasababisha complication nyingine.
Changu mkuu Acha basimbona hicho kiganja cha Mkono ni kama kiganja cha mwanaume
kuwa makini, sio kila muda unawaza ngono tu.Jino tu unaumia namna hiyo?!je siku uliyotolewa bikra si itakuwa ulitaka kupaka aradite kbs
kuwa makini, sio kila muda unawaza ngono tu.
Pole aisee usiweke super glue bila kumuona Dr.Mi naonaga nimeng'oa meno mengi mwenzangu we umeng'oa zaidi.Meno yanatesa ila nashkuru Mungu tangu mwaka jana sijaskia kuumwa hata kidogo.Habari za jioni wakuu
Jino langu lilikuwa limejazwa sasa limekatika kule kwenye jino la kweli ikabaki ile chokaa.. nataka kutumia superglue kurudisha je kuna madhara kwenye jino?
Nimebaki na meno machache sana wasiwasi wangu sitaki kutoa jino sababu litakuwa jino la nane ..
View attachment 523415
Asanteni
ha hahaUzee hauepukiki
asante mkuu na hongera .. me halijauma nilikuwa nakula popcorn nashangaa kitu kigumu kutema ndiyo jino langu hiloPole aisee usiweke super glue bila kumuona Dr.Mi naonaga nimeng'oa meno mengi mwenzangu we umeng'oa zaidi.Meno yanatesa ila nashkuru Mungu tangu mwaka jana sijaskia kuumwa hata kidogo.
keSamahani miss chagga, hivi wewe ni Ke au Me
Habari za jioni wakuu
Jino langu lilikuwa limejazwa sasa limekatika kule kwenye jino la kweli ikabaki ile chokaa.. nataka kutumia superglue kurudisha je kuna madhara kwenye jino?
Nimebaki na meno machache sana wasiwasi wangu sitaki kutoa jino sababu litakuwa jino la nane ..
View attachment 523415
Asanteni
umesoma vibaya soma tenaKwa sisi wataalamu wa kusoma viganja wewe mtu ni mfupi sana na miaka yako 33 ujitahidi kwenye huo mradi ulioanzisha maana ushindani ni mwingi
nina 45 sasaMkuu kumbe umri unaelekea saa kumi na mbili jioni?
hahahahhahahaah mmmmmhJino tu unaumia namna hiyo?!je siku uliyotolewa bikra si itakuwa ulitaka kupaka aradite kbs