Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,975
- 2,170
Ni nini hii?
sasa si mseme hiyo nini? Au gongo ya zamani?...
hii ni picha nikiwa naenda church jumapili.teh teh teh................!
sasa huyu mwenye kijamba koti cha njano hapa chini anajifanya amewakamata washkaji hapa chini.je angekutana na hao wafuasi wa mabwepande hapo juu angewakamata au ndo nchi ya kitu kidogo.Ngoja nimsaidie Mbuzi Mzee kuweka vibwanga vya pikipiki za bongo:
View attachment 59579
View attachment 59580
View attachment 59582
lol! huyu anawanga kupitia mtandaoni 🙂🙂