zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Nakisia: Huyo ni Precise Pangolin
Hakuna bange wala nini ni kawaida tu!
Kwani unavyokuwa hivi bafuni unakuwa umevuta bange?!
kaka yake naye yumo![]()
Na huyo wa kibongo,anafanya mazoezi ya kwenda world bathing day?
Mkuu, angekuwa mwenyewe picha ingefikaje humu??mi sion kosa liko wapi mbona poa tu kama uko mwenyewe si unajiachia tu kwa raha zako....??lol.....jamaa yuko kikazi zaidi!anatisha!
MadameX...umeua bendi.... lakini usiseme Ma bana...unayadharau hivyo why??Sitaki kutumia hata hiyo laptop maana keyboard zitakuwa zimejaa mashahawa 😛uke:
Mkuu, angekuwa mwenyewe picha ingefikaje humu??
Hakuna bange wala nini ni kawaida tu!
Kwani unavyokuwa hivi bafuni unakuwa umevuta bange?!
wanatumia madawa ya kulevya yaitwayo meth. ni makali kupita yote yanayoteja watu.. huuwa utashi na mtu unaweza hata kutembea na chupi tuu barabarani. mwanamuziki maarufu wa nigeria the late Fella anikulapo kuti alikuwa natumia haya madawa wakati wa uzeeni wake na hivyo kujikuta alikuwa anatembea na chupi tuu masaa 24!joto jamani!!