Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
duh.........mie napita tu hapa nsije nkasomewa dua kama mama wa pale mjengoni...
Hiyo ni dharau kwa dini ya watu wewe Mbuzi Mzee vinginevyo utaliwa siku ya Iddy kama si hii ile ya kuchinja.
Hiyo ni dharau kwa dini ya watu wewe Mbuzi Mzee vinginevyo utaliwa siku ya Iddy kama si hii ile ya kuchinja.
Unaweza kukuta anasubiria zamu yake ifike....
MbuziMzee, huyo anayenyonyesha ndio my wife wako?
MbuziMzee, huyo anayenyonyesha ndio my wife wako?
Huyu Kanjibari, kafa au kazimia? duuuuh UAMSHO.