Supa Ghee

jimboni kwa mh. Prof. Dkt MAJIMAREFU.
I can't tell them nothing about SISIEMU.
 
Hii picha ni ya ukweli, photoshop. Sasa ubaya unatoka wapi hapo? Kashfa ya dini inatoka wapi hapo? Mkristo hawezi kuvimbiwa? Au kwa vile aliyevimbiwa katika picha hii kavaa kanzu?

Acheni uchochezi na udini nyie watu!!

Hakuna ulichokosea MbuziMzee!!
 
zarau zipo wapi hapa? ni ishara gani inasema huyu ni wa dini fulani? watu panueni bongo zenu!


389110_469176883101439_122028369_n.jpg
 
hata mimi nashangaa, kanzu ni vazi la utamaduni wa afrika magaharibi na mashariki ya kati, yoyote mtu wa dini wa kabila lolote anaweza livaa!

Hii picha ni ya ukweli, photoshop. Sasa ubaya unatoka wapi hapo? Kashfa ya dini inatoka wapi hapo? Mkristo hawezi kuvimbiwa? Au kwa vile aliyevimbiwa katika picha hii kavaa kanzu?

Acheni uchochezi na udini nyie watu!!

Hakuna ulichokosea MbuziMzee!!
 
Mtemi Milambo na Isike waliwauza watu wao kwa waarabu na wazungu. mkoa maskini kiuchumi na kifikra, wengi ni gambaz.
 
Ulaji mwingine hauna tofauti na ukafiri wenyewe! Ajabu wakati watu wakipwakia hivi kuna majirani zao hawana shibe. Wengine tena hutumia hata kodi za hao wanaokufa njaa kupwakia hivyo na bado wanajiona wana dini!
 
Weka specifications zote sasa!

Mfano rangi, usajili, aina , imetembea km ngapi etc;
Hapo naona kiti nachopenda kukalia tu kwenya gari!:israel:
 
Back
Top Bottom