Hii picha ni ya ukweli, photoshop. Sasa ubaya unatoka wapi hapo? Kashfa ya dini inatoka wapi hapo? Mkristo hawezi kuvimbiwa? Au kwa vile aliyevimbiwa katika picha hii kavaa kanzu?
Acheni uchochezi na udini nyie watu!!
Hakuna ulichokosea MbuziMzee!!