Mr. Miela
JF-Expert Member
- Aug 2, 2007
- 1,226
- 2,055
Kwa wafugaji wa mbwa naombeni ushauri nitumie sumu (dawa) gani kupambana na viroboto
Nimetumia kwa nyakati tofauti na kwa ushauri wa watu mbalimbali dawa kama ticks fix, alpha dip, dawa unga ya kunyunyizia, bens attack, dawa ya kuua wadudu wa pamba sabuni ya unga na maji moto ila nakuwa kama nawapalilia yaani badala ya kupungua au kuisha ndo wanazidi kunenepa.
Kuna shida kwenye dawa tunazosambaziwa au ni viroboto wamekua wababe☹☹
Nimetumia kwa nyakati tofauti na kwa ushauri wa watu mbalimbali dawa kama ticks fix, alpha dip, dawa unga ya kunyunyizia, bens attack, dawa ya kuua wadudu wa pamba sabuni ya unga na maji moto ila nakuwa kama nawapalilia yaani badala ya kupungua au kuisha ndo wanazidi kunenepa.
Kuna shida kwenye dawa tunazosambaziwa au ni viroboto wamekua wababe☹☹