jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 4,608
- 11,878
Sijakuta urithi mzee, mi ndo natakiwa niandae urithijay-millions unakosaje hata ka million moja!
Sijakuta urithi mzee, mi ndo natakiwa niandae urithijay-millions unakosaje hata ka million moja!
Nimeitiwa kiwanja cha laki saba huko vianzi na nimechemka, nabaki kuguna guna tujay-millions unakosaje hata ka million moja!
Unamaanisha nn labda maana sijakuelewa,any way ngoja nikujibu wakati huo nakuja dar mara ya kwanza stand ilikuwa kisutu una jingineWkt unakuja Dad stand uliikuta ubungo au mnazi mmoja?
Dealers wapo. Hata mtandaoni ngoja nitaweka links zao. Ni yale maduka wanauza products za Samsung tu.Original kabisa zinapatikana kwenye maduka gani kwa huko DSM?
Kuna watu inawabidi waunganishe mishahara ya miezi 6 kufikia hio 1.7 million halafu kuna watu wananunulia simu tu hio hela bila mawazo. Tutafte hela tu wanangu haina jinsi.Wanaongelea mamilioni kama ka hela mbuzi tu, nchi moja ila madaraja tofauti anyway tupeane michongo wadau
Ila unakuta mtu kwa kutumia simu yake kwa mwaka anafanya madeal ya zaidi ya milioni 20. Simu ukinunua kama pambo ni liability.Daaa watu wana hela...simu inauzwa 3.5m na nyumba yangu yote bati znatakiwa za 3.5m loooooooooh
Kwa Mlimani hizo bei za kawaida sana tuBei za Dar kwa sasa ukiwa na 2,600,000/= unapata Samsung Galaxy S23 Ultra yenye 8GB RAM 256GB ROM. Vilevile S23 Ultra yenye 12GB RAM 512GB ROM inauzwa around 2,900,000/= hadi 3,100,000/= hivi. Kuna version ya 12GB RAM na 1TB ROM hii ndio nimeona inauzwa TSh 3,500,000/=.
Hizi ni bei za Dar za Samsung Galaxy S23 Ultra zikiwa mpya full box.
NB: Kitu original kabisa ingia M-City na mfuko uwe umenyooka pia [emoji28][emoji28]
Hizo bei sio za Mlimani City. Hizo ni za maduka mengine ya Dar. Kariakoo, Kinondoni, etc.Kwa Mlimani hizo bei za kawaida sana tu
Sawa sawqHizo bei sio za Mlimani City. Hizo ni za maduka mengine ya Dar. Kariakoo, Kinondoni, etc.
Ila unakuta mtu kwa kutumia simu yake kwa mwaka anafanya madeal ya zaidi ya milioni 20. Simu ukinunua kama pambo ni liability.
Ila kwa wale kama mimi ambao simu ni kitendea kazi basi ni asset. The more napata simu latest na yenye improvement ya features then nakuwa katika nafasi nzuri ya kufanya mambo yangu kwa utulivu bila shida.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Xiaomi 12 Pro ni more expensive than laki 9. Inazidi hadi 1.5MHivi Xiaomi 12 Pro kwa laki 9 hiyo Bei ni Sawa au napigwa?
Daaa watu wana hela...simu inauzwa 3.5m na nyumba yangu yote bati znatakiwa za 3.5m loooooooooh
Mchambo huo wewe ni jinsia ganiUnadhani nani atanunua hizo simu za gharama kama wote tutalia lia kama wewe.nina jirani yangu alinunua s22ultra kwa m2 amekaa nayo muda sasa ameniambia anaiuza anunue iphone 14 pro max ili aonje utamu wa apple pia.kwa hiyo kaka usishangae watu kununua huzo simu kubwa ,wewe ndiye huna pesa unatakiwa kufanya kila juhudi ili na wewe umiliki pesa na umiliki vitu vizuri kama wanaune wenzako
Kabisa yaani.Trust me wabongo wengi kwao simu is more of a fashion than Utility. Hawezi kuitumia simu kwa 100% efficiently.
Tunajitahidi kutafuta ila wakati wetu wa kuzidaka bado haujafikaKuna watu inawabidi waunganishe mishahara ya miezi 6 kufikia hio 1.7 million halafu kuna watu wananunulia simu tu hio hela bila mawazo. Tutafte hela tu wanangu haina jinsi.
Yeah ... Endelea kutafuta, ipo siku tuTunajitahidi kutafuta ila wakati wetu wa kuzidaka bado haujafika
Kama ni mpya ni bei rahisi. AliExpress ni 480 USD ya 128GB+8GB. Used hiyo bei sio mbaya pia.... Ikiwa ni mpya naomba nijulishee hilo chimboHivi Xiaomi 12 Pro kwa laki 9 hiyo Bei ni Sawa au napigwa?