Sumsung S Ultra bei zake zikoje

Sumsung S Ultra bei zake zikoje

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,789
Reaction score
4,480
Wakuu nauliza sumsung hizi ultra namba zote Bei zake zikoje nataka niingie uko.

1678791317362.png
 
Aisee watu mna hela
Unadhani nani atanunua hizo simu za gharama kama wote tutalia lia kama wewe.nina jirani yangu alinunua s22ultra kwa m2 amekaa nayo muda sasa ameniambia anaiuza anunue iphone 14 pro max ili aonje utamu wa apple pia.kwa hiyo kaka usishangae watu kununua huzo simu kubwa ,wewe ndiye huna pesa unatakiwa kufanya kila juhudi ili na wewe umiliki pesa na umiliki vitu vizuri kama wanaune wenzako
 
Original kabisa zinapatikana kwenye maduka gani kwa huko DSM?
Bei za Dar kwa sasa ukiwa na 2,600,000/= unapata Samsung Galaxy S23 Ultra yenye 8GB RAM 256GB ROM. Vilevile S23 Ultra yenye 12GB RAM 512GB ROM inauzwa around 2,900,000/= hadi 3,100,000/= hivi. Kuna version ya 12GB RAM na 1TB ROM hii ndio nimeona inauzwa TSh 3,500,000/=.
Hizi ni bei za Dar za Samsung Galaxy S23 Ultra zikiwa mpya full box.

NB: Kitu original kabisa ingia M-City na mfuko uwe umenyooka pia [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom