grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,662
True ila KUNA KITU KINAITWA "STIGMA" ni sawa na mtu leo amuone Mo dewj, bakhresa au hata mondi akigombania daladala , ni kitu cha kawaida lakini kwa sisi raia wengine tutaona maajabu.Knowledge ya Tech inamsaidia kujua ni simu ipi nzuri kununua katika reasonable prices kulingana na matumizi yake.
Kama matumizi yako ni ya kawaida na midrange inakutosha kwa nini upoteze hela nyingi kununua flagship?