malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,788
- 4,475
Wakuu habar zenu naomba Kuuliza hivi sumsung A53 kwasasa madukani nishiling ngap dukani
770000Wakuu habar zenu naomba Kuuliza hivi sumsung A53 kwasasa madukani nishiling ngap dukani
Inakua mpya au refurshable sjui770000
Mpya, kama sikosei ila kwakuwa ni kariakoo wanasemaga simu zote mpya hata kama ni refurbished hapo ndio tatizo linapoanzaaa... Inabid uwe mjanjaaaInakua mpya au refurshable sjui
Hii ni bei ya A33770000
A33 nilinunua 650,000Hii ni bei ya A33
Mleta mada shika hii bei kama wahitaji simu mpya kabisa ikiwa na warranty ya miaka miwili kutoka kwa Samsung wenyewe950,000
Aende marscom mliman city akavute simu mpyaMleta mada shika hii bei kama wahitaji simu mpya kabisa ikiwa na warranty ya miaka miwili kutoka kwa Samsung wenyewe
Nilichogundua ni kwamba watu wachache sana ndio wanajali sana hiyo 5G. Mfano mimi huwa sijali kuhusu 5G, cha msingi simu iwe nzuri basi. 4G ya Voda huku ninapokaa ipo faster sanaA53 achana nayo. Haina uwezo wa 5G. Tafuta simu nyingine. Dunia inaenda 5G kwa kasi utaachwa nyuma
Umeweka screenshot ya A33 5G.Usimpotoshe mwenzio a53 ina 5gView attachment 2550228
Ni kweli kabisa nilikosea lakini nakushukuru kwa masahihishoUmeweka screenshot ya A33 5G.
Ya Samsung Galaxy A53 5G ni hii hapa. Ni kweli hiyo simu ina 5GView attachment 2550237
Mkuu hivi na wewe watumia midrangeA33 nilinunua 650,000
Kwanini asitumie Midrange?Mkuu hivi na wewe watumia midrange
Chief mkwawa ni gwiji wa tech lazima watu washangae akitumia midrange phones 😂😂Kwanini asitumie Midrange?
Knowledge ya Tech inamsaidia kujua ni simu ipi nzuri kununua katika reasonable prices kulingana na matumizi yake.Chief mkwawa ni gwiji wa tech lazima watu washangae akitumia midrange phones [emoji23][emoji23]
Alimnunulia wifeMkuu hivi na wewe watumia midrange