Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,592
- 23,209
Mbona kawaida tu,sijaona kilichoharibika hapo
Acheni utakatifu wenu wa kishetani pimbi nyie
Acheni utakatifu wenu wa kishetani pimbi nyie
Mi nashangaa watu wanapaniki niniSchool bash hio acha madogo wapooze akili
Sisi tulikuwa nazo karibia mara mbili kwa mwezi
Sanaa kwa kweliEnzi hizo sisi tulicheza sana na wadada kutoka shule fulani hv
Ilikua safi sana.
Katika pitapita zangu basi nikakutana na wanafunzi (KE na ME) wakicheza Disko huku mwanaume akiwa amemkumbatia mwanafunzi mwenzake wa kike.
Nimejifikiria sana manufaa ya huu uchafu mashuleni nikaona kwanini serikali isiharamishe huu upumbavu huko mashuleni?
Angalia hii video chini harafu utoe maoni yako.
Hii ni shule zote Tanzania form 1 hadi 6Kweli. Nimekwazika Sana na Huu uchafu. Iweje watoto waruhusiwe kucheza Disco shuleni tena bila monitoring
Katika pitapita zangu basi nikakutana na wanafunzi (KE na ME) wakicheza Disko huku mwanaume akiwa amemkumbatia mwanafunzi mwenzake wa kike.
Nimejifikiria sana manufaa ya huu uchafu mashuleni nikaona kwanini serikali isiharamishe huu upumbavu huko mashuleni?
Angalia hii video chini harafu utoe maoni yako.
Kuna alikuwa kiongozi dini kabisa mimba ikamuumbuaMimba wanapewa hata ambao hawaendi disco.