Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Kwa mujibu wa Ndugu Sumaye ambaye ndiye amepewa jukumu la kumpokea Wema na Mamaake na kuwakabidhi kadi za kujiunga ameshindwa sababu ya kuchelewa mahakamani.
Kwani Silaha yuko wapi maana tuliambiwa ameenda kula mihogo Canada baadaye tukasikia anasoma wakiwa na mchumba wako huko hajamaliza tu hayo masomo?Tatizo La Wema Nikwamba Anataka Kuipeleka Siasa Km Maigizo Ya Bongo Movies.Na Cdm Embu Muwe Serious Na Mambo Yenu Mnayoyafanya Km Kipindi Kile Ya Dr Slaa,sahv Mmeonekana Mmepwaya Sna Tna Sna,ngosha Ni Wakupeleka Mpera Mpera Mpaka Atachoka Mwenyewe.Ruzuku Mnapokea Kubwa Tu Mnashndwa Kufanya Kazi?Mnaogopa Nn? Wapi Ile Intelejisia Yenu Imara Yakudukua Mambo Kabla Haijatendeka?
Ndio unavyojidanganya,ngosha atakupeleka mpera mpera wewe boya usiyejielewa.Tatizo La Wema Nikwamba Anataka Kuipeleka Siasa Km Maigizo Ya Bongo Movies.Na Cdm Embu Muwe Serious Na Mambo Yenu Mnayoyafanya Km Kipindi Kile Ya Dr Slaa,sahv Mmeonekana Mmepwaya Sna Tna Sna,ngosha Ni Wakupeleka Mpera Mpera Mpaka Atachoka Mwenyewe.Ruzuku Mnapokea Kubwa Tu Mnashndwa Kufanya Kazi?Mnaogopa Nn? Wapi Ile Intelejisia Yenu Imara Yakudukua Mambo Kabla Haijatendeka?
Yaani kwa vile Wakudadavuwa kaleta mada ya aina hii umeshachotwa kiasi hicho na kumwamini kabisa? Kwani wewe mgeni humu kiasi cha kumjua alivyo muongo mpaka mahakamani chini ya kiapo anadanganya?Huku ni kupoteana kisiasa au nini!!!
Yaani leo CDM mmeanza kutenga mda wenu kumsubiri Wema muigizaji!!!
Mmesahau dodoma mlitenga muda kwenye mkutano mkuu wa chama chenu kwa ajili ya wolper!!!Huku ni kupoteana kisiasa au nini!!!
Yaani leo CDM mmeanza kutenga mda wenu kumsubiri Wema muigizaji!!!
Wameshindwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 23 ndiyo wataweza leo kwa maneno yako matupu huku JF?Kwa taarifa yako Ngosha hamtamuweza hata kwa dawa.Mmepotezana kama kondoo waliovamiwa na chui kila mmoja anakimbia uelekeo tofauti.Tatizo La Wema Nikwamba Anataka Kuipeleka Siasa Km Maigizo Ya Bongo Movies.Na Cdm Embu Muwe Serious Na Mambo Yenu Mnayoyafanya Km Kipindi Kile Ya Dr Slaa,sahv Mmeonekana Mmepwaya Sna Tna Sna,ngosha Ni Wakupeleka Mpera Mpera Mpaka Atachoka Mwenyewe.Ruzuku Mnapokea Kubwa Tu Mnashndwa Kufanya Kazi?Mnaogopa Nn? Wapi Ile Intelejisia Yenu Imara Yakudukua Mambo Kabla Haijatendeka?
Kwa mujibu wa Ndugu Sumaye ambaye ndiye amepewa jukumu la kumpokea Wema na Mamaake na kuwakabidhi kadi za kujiunga ameshindwa sababu ya kuchelewa mahakamani.
Asante mkuu kwa ufafanunuzi, ningeshangaa kama kweli mda ulitengwa maalum kwa ajili hiyo!!!Yaani kwa vile Wakudadavuwa kaleta mada ya aina hii umeshachotwa kiasi hicho na kumwamini kabisa? Kwani wewe mgeni humu kiasi cha kumjua alivyo muongo mpaka mahakamani chini ya kiapo anadanganya?