Sumaye: Waliomfanyia fujo Warioba ni wahuni

Sumaye: Waliomfanyia fujo Warioba ni wahuni

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Akihojiwa na Sauti ya America jioni hii, Mh. SUMAYE amesema, wale waliomfanyia fujo jaji warioba ni wahuni na hajapata taarifa rasmi kama ni wanaCCM au lah. Na kama angepata taarifa rasmi kuwa ni WanaCCM leo angeitisha mkutano wa waandishi wa habari kukemea vikali uhuni huo.

Amesema, kwa nafasi alizowahi kushika jaji Warioba hapa nchini hakustahili kufanyiwa uhuni huo na anatarajia serikali ya chama chake itachukua hatua kali dhidi ya wahuni wote waliohusika.


Source: SAUTI YA AMERICA YA SAA 19:30---20:00 RFA.
 
Nilitarajia waziri wa ulinzi awe amesha jiuzulu kwa kushindwa kumpa mzee warioba ulinzi dhidi ya makonda and co. Ila cha ajabu hata polisi wameshindwa kuchukua hatua dhidi ya hao wanaowaita wahuni ni aibu kwa serikali wala sio warioba.
 
waliofanyiwa fujo ni vijana waliokuwa wakishangilia na madaftari, warioba alitaharuki tu.
 
Nilitarajia waziri
wa ulinzi awe amesha jiuzulu kwa kushindwa kumpa mzee warioba ulinzi
dhidi ya makonda and co. Ila cha ajabu hata polisi wameshindwa kuchukua
hatua dhidi ya hao wanaowaita wahuni ni aibu kwa serikali wala sio
warioba.

huu ulikuwa ni mzozo tu, tatizo ulihusisha wahuni waliojichomeka.
 
Hofu yangu ni pale wanaposema ni zamu ya vijana kumweka raisi safari hii na wazee ndo mda wao wa kufa umefika…Sasa sijui sisi wazee tutaamia nchi gani jamani…yaani mbona sitakubali nidhalilishwe namna hii!!
Mlianza kwa kumpiga kibao raisi mstaafu Mwinyi baadae mkamwambia Dr.Slaa kuwa ni babu na atakufa kalibuni…mkaja tena mkamtukana mzee Warioba na wazee wote wanaoeleza ukweli wa maoni ya Watanzania na kufafanua rasimu ya Sitta na Chenge na jana mkavuka ule mstari wa RED LINE mkampiga mzee mwenye hadhi kubwa katika taifa hili…. Na mpaka hapo hakuna lolote ambalo serikali imechukua hatua yeyote ile
Kwa mtiririko wa matokeo haya…kama raisi atakuwa kijana na kama ni kutoka kwa CCM sio ajabu sisi wazee itabidi tutafute hifadhi ktk nchi jirani…sio siri hata mkuu wa kaya wa sasa hivi,Sitta,Chenge etc watarajie kupigwa sababu watakuwa wazee zaidi
Huu uhuni umefumbiwa macho kwa sababu ya poor politics ya CCM …na laana hii lakini itazidi kuwatoke puani..
Mlivizingizia vyama vya CUF na CDM kuwa ni vya udini kumbe mlikuwa mna ajaenda zenu..na hii yote iko ktk ushahidi wa Lukuvi kuwa anatatizo kwa ZNZ itakuwa nchi ya Kiislamu…
Wazee wenzangu nisaidieni hapa nianze kutafuta hifadhi au mtawapa urahisi hawa akina Makonda,Mwigula na Nape???
 
Nilitarajia waziri wa ulinzi awe amesha jiuzulu kwa kushindwa kumpa mzee warioba ulinzi dhidi ya makonda and co. Ila cha ajabu hata polisi wameshindwa kuchukua hatua dhidi ya hao wanaowaita wahuni ni aibu kwa serikali wala sio warioba.

Nilitarajia pia waandaaji wa mdahalo wangemshitaki Makonda na wahuni wenzie kwa kuwavurugia mdahalo waliouandaa kwa gharama kubwa. Pia serikali ingemshitaki makonda na vikaragosi wenzie kwa kufanya matendo ambayo yangepelekea uvunjifu wa amani kwenye kadamnasi ya watu hivyo kuweza hata kusababisha umwagaji wa damu.
 
Asante sana Sumaye kwa kuwa muwazi...hawa wahuni na wakora lazima tuwakemee katika taifa hili, huwezi kumpiga mzee wa heshima kama Warioba then tukanyamaza, haiwezekani hata kidogo...
 
Akihojiwa na Sauti ya America jioni hii, Mh. SUMAYE amesema, wale waliomfanyia fujo jaji warioba ni wahuni na hajapata taarifa rasmi kama ni wanaCCM au lah. Na kama angepata taarifa rasmi kuwa ni WanaCCM leo angeitisha mkutano wa waandishi wa habari kukemea vikali uhuni huo.

Amesema, kwa nafasi alizowahi kushika jaji Warioba hapa nchini hakustahili kufanyiwa uhuni huo na anatarajia serikali ya chama chake itachukua hatua kali dhidi ya wahuni wote waliohusika.


Source: SAUTI YA AMERICA YA SAA 19:30---20:00 RFA.

Kwa mtindo huu bora nianzishe kundi kama isis au boko haram
Najua nitapata wafuasi wengi wanaochukia himambo ya ubabe na dhuluma ya magamba ccm
 
Akihojiwa na Sauti ya America jioni hii, Mh. SUMAYE amesema, wale waliomfanyia fujo jaji warioba ni wahuni na hajapata taarifa rasmi kama ni wanaCCM au lah. Na kama angepata taarifa rasmi kuwa ni WanaCCM leo angeitisha mkutano wa waandishi wa habari kukemea vikali uhuni huo.

Amesema, kwa nafasi alizowahi kushika jaji Warioba hapa nchini hakustahili kufanyiwa uhuni huo na anatarajia serikali ya chama chake itachukua hatua kali dhidi ya wahuni wote waliohusika.


Source: SAUTI YA AMERICA YA SAA 19:30---20:00 RFA.

Wale wale hana cha maana.Hajasikia basi hata magazet hajasoma?
 
Makonda na Wahuni wenzake ni Washe,n,zi, asikanyage Mkoa wa Mara kama anaitaka Roho yake
 
Kwanini atumie nguvu nyingi kujisafisha? Kama hakufanya huu upuuzi atulie tuu,,tehe tehe
 
Back
Top Bottom