Sumaye: Nilipojaza fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA taifa na kulipa tsh 1,000,000 ndipo nilipoanza kushambuliwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,957
141,946
Waziri Mkuu Mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda CHADEMA ili kuwafundisha namna ya kuendesha Serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.

Sumaye anasema alipogundua kwamba CHADEMA hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.

Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.

Chanzo: Medani za Siasa Star tv
 
Mzee muongo na mnafiki mkubwa.
Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.


Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.

Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.

Source: Medani za Siasa Star tv
 
Huko alikorudi,hayo hayo yalimkimbiza Membe, mchumia tumbo huyo hana jipya.
 
Kumpinga Mbowe katika uenyekiti wake ilikuwa ni sawa na kupingana na uhai wako mwenyewe. Sumaye alishindwa kujifunza kupitia kwa Chacha Wangwe, Zito, Mwigamba na wengineo. Ni rahisi mtu kufika ulaya kwa kuogelea kuliko kumshinda Mbowe uenyekiti.

images (25).jpeg
 
kwA sekunde MOJA hebu kaa chini alafu Fikiria huyu ndo alikua waziri mkuu,WAZIRI MKUU..

Aisee tuna political class ynye upeo mdogo sana,no wonder hatuendelei😂
Alikuwa anatumwa na mkapa kumtongozea mademu ndo akaukwaa upm,
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.

Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.

Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.

Source: Medani za Siasa Star tv
Kwani angefanya hivyo katika CCM wangemuacha tu? Hiyo ndiyo siasa hasa ya majitaka huku barani kwetu ambapo siasa ni njia rahisi ya kuula kwa kuwala watawaliwa. Sioni tofauti kati ya Sumaye na hao anaowashitaki.
 
Back
Top Bottom