Kama nyie nguruwe munavyopenda maandamano mnakuwa na umoja
Mbuzi wana umoja sana, ni lazima wachaguane.
Mbuzi wana umoja sana, ni lazima wachaguane.
Hicho chama chenu ambacho sio cha Wachagga kinangoja nini ili kuanzishwa? Au kitakuwa chama dhaifu sana ndio maana kinasubiri cdm kifanyiziwe na dola ndio kianze?
Tiss wanampango wa kuanzisha chama kingine cha upinzani mbadala wa cdm, ambacho kitafanya siasa kwa utashi wa ccm. Ongea nao ww ndio uwe mwenyekiti wa hicho chama dhaifu.
Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.
Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.
Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.
Source: Medani za Siasa Star tv
Huyu nae atulie ,chadema sio chama Cha majaribio,Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.
Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.
Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.
Source: Medani za Siasa Star tv
Nimwulize Sumaye lini anatarajia kuchukua fomu ya kugombea uenyekiti wa CCM. Angalau huko CHADEMA alishambuliwa kwa maneno. CCM atapotea!Sasa kwa tabia kama hizi utaachaje kushambuliwa?
Cha ajabu chadomo walimpenda sanasasa huyu jamaa ana shule ya kuongoza serikali? kama angekuwa mjuzi wa uongozi, si angeibadili Tanganyika zama zake?
Huyu mzee asingewezana na magaidi ya mule saccos.. Bora alijitoa mapema.Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.
Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.
Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.
Source: Medani za Siasa Star tv
Wala hakua na haja ya kulalamika. Aliporudi CCM angeenda kuchukua fomu ya kugombea Uwenyekiti wa Chama hicho Taifa na pengine wangempa tu hata bure maana demokrasia ni kubwa kule kuliko upinzani
Kule huchapishwa fomu 1 tu.Wala hakua na haja ya kulalamika. Aliporudi CCM angeenda kuchukua fomu ya kugombea Uwenyekiti wa Chama hicho Taifa na pengine wangempa tu hata bure maana demokrasia ni kubwa kule kuliko upinzani
Ndiyo alirudishiwa.Hivi yale mashamba yake ya Morogoro aliyonyang'anywa na Magufuli alirejeshewa ?
Walafi hawakosi sababuWaziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.
Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.
Zaidi Sumaye anasema alipochukua fomu ya kugombea uenyekiti wa Chadema taifa na kulipia gharama za fomu tsh 1,000,000 ndipo nongwa ilipoanza kwa sababu tu ilitakiwa Freeman Mbowe asipingwe.
Source: Medani za Siasa Star tv
Unajua kilichomtoa CCM ni mafia wa chama hicho walivyomzuia kugombea uraisKumpinga Mbowe katika uenyekiti wake ilikuwa ni sawa na kupingana na uhai wako mwenyewe. Sumaye alishindwa kujifunza kupitia kwa Chacha Wangwe, Zito, Mwigamba na wengineo. Ni rahisi mtu kufika ulaya kwa kuogelea kuliko kumshinda Mbowe uenyekiti.
View attachment 1933936
Hapo juu Sumaye mwenyew anasema sababu zilizomfanya atoke CCM kwenda Chadema ni kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku wangetwaa madaraka.Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye anasema alikwenda Chadema ili kuwafundisha namna ya kuendesha serikali endapo kuna siku itatwaa madaraka.
Sumaye anasema alipogundua kwamba Chadema hakuna namna wataweza kutwaa madaraka na wamepungukiwa sana demokrasia aliamua kuachana nao.
Source: Medani za Siasa Star tv
Hapa chini wewe unasema kilichomtoa CCM ni mafia wa chama waliomzuia kugombea. Sasa kiakili unategemea mtu mwenye akili atafata propaganda zako ulizolishwa na wenzako au atafata yale yalioongewa na muhusika mwenyewe? Kweli viongozi wenu wameshaharibu akili zenu!Unajua kilichomtoa CCM ni mafia wa chama hicho walivyomzuia kugombea urais
Sidhani umesahau Hilo kwa bahati mbaya