Don't be silly, msitumiwe na mafisadi halisi (Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge) kupoteza mwelekeo. Sumaye si fisadi, ni waziri mkuu mstaafu anayeishi maisha ya kawaida tu. Alikopa 50m/- PPF si NSSF na alizirudisha pesa hizi. Ni mkulima tu ana mashamba na mifugo ya kawaida sana.
Ukimfananisha na Lowassa na Chenge, Sumaye ni masikini sana. He has moral authority kuwanyooshea vidole mafisadi.
Ukimfananisha na Lowassa na Chenge, Sumaye ni masikini sana. He has moral authority kuwanyooshea vidole mafisadi.