Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Jana madhara huyu kwa kujitoa CCM. Mbona hata kule wilaya ya Hanang alikataliwa na wananchi wa kwao alipogombea kuwa mjumbe wa NEC.
Unafahamu kikwete alichofanya??? Kwenye uchaguz wa wajumbe 2012?...ccm weng walikuwa waoga kufunguka sasa subir na dr.bilal aweke unafk pemben afunguke