Sumaye: CCM kaa chonjo

Itilima tuko tiali kuiondoa ccm madarakani sumaye simama imara
 
Sumaye amechanganyikiwa,chadema wamechanganyikiwa hadj wameitana kwa dharura kukabiliana na tukio la kuchaguliwa magufuli,ili wasipotee kwenye magazeti itabidi kesho watoke na katamko koko
Na wamepotezwa mpaka mkutano wa ccm umeisha,Molemo ndio kaibuka na uzi wa kamati kuu ya chadema
 
Maccm ngonjera na mipasho ndio imebaki?Nchi itajengwa baada ya ccm kuanguka
 
Kamuulize aliyesema leo atakuwa Mwenyekiti wa Chama tawi la Msoga
 
Chadema chama chetu tunakipenda sana uku kwetu mipasho ya maccm inakela sana
 
Chadema inatoa matumaini makubwa sana anashuka huyu anapanda mwingine
 
Mkutano wa vijembe na mipasho kwa sumaye na lowassa ,,,kama n mgeni hapa nchini unaweza sema n chama cha umoja wa waimba taaaarabu kikijadili usaliti ndan wa chama.......only magufuli was objective
 
Sumaye yuko sahihi kabisa CCM wenyewe wanamjua Sumaye ni namba nyingine
 
Yani leo kila baada ya neno ni Chadema, Lowasa, sumaye, Hawa magamba watakufa kwa pressure mwaka huu, ukiwa muovu lazima ukose amani.
Ha ha ha ccm wote duuuh hata kama wametutukana wapinzani sitojali ila naota na ninachojua mm wanaccm wengi ni visukar tu sasa ukilinganisha kuuza utu wao na huku anakisukari atakufa na anaibiwa live anakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…