Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
tulikuelewahuyo EL ndo pepo kubwa kumuingiza ikulu ni kuleta majanga zaidi tanzania.
tulikuelewahuyo EL ndo pepo kubwa kumuingiza ikulu ni kuleta majanga zaidi tanzania.
Kwa hiyo kwa hoja yako kuhusu Edo kuwanunua wapiga kura ni sahihi kabisa?Acha ujinga wewe hebu onyesha popote pale nilipojiumbua badala ya kukurupuka. Huwa sibadili misimamo yangu kipuuzi puuzi.
Kumbukumbu lazima zikae sawa, Mkuu.Sio kwamba wanaweka kumbukumbu sawa?
Watu wanafiki jamani?
Yaliyopita sio ndwele...
Yashapita hayo.
Lowassa ni tumaini la mafisadi, wezi, wahuni, majangili na magaidi na wauza unga nchini. Haiwezekani kiongozi mzuri mwenye sifa za kuiongoza nchi aanze kampeni zake kwa kutoa rushwa ya mamilioni katika nyumba za ibada halafu akadaiwa eti ni "tumaini la Watanzania"
..wanafiki ni wale wasiojua wapi pa kusimamia, leo huku kesho kule.Waliofukua huu uzi.
Anasubiria 2019 aanze tena....Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Bado upo JF?huyo EL ndo pepo kubwa kumuingiza ikulu ni kuleta majanga zaidi tanzania.
Bado unaamini kuwa anasema ukweli?......BTW siku hizi anaitwa wa mchanganisumaye mara nyingi usema ukweli nakumbuka kauli yake kuwa "anaetumia vyombo vya habari kuingia madarakani atatumia risasi za moto awapo madarakani"

2015 watanzania hawakumchagua.Lowassa ana nywele nyeupe lakini roho yake si nyeupe, kuweni makini watanzania!
Mavi ya kale hayanuki.......vya kale ni dhahabu........mnatukumbusha yaliopita, CDM walisha ziba masikio
BAK itabidi abadilishe ID maana kwa siku tatu mfululizo nyuzi zake za awali zinazidi kumuumbua.Halafu bado anataka aendelee kuaminika humu. Ukimpa za uso anaporomosha mitusi alivyo na domo chafu. Sijui kwanini sikuhizi MODS wanafumbia macho matusi. Zamani ukitukana ilikuwa unakula ban on the spot. Sijui bana, twendeni hivi hivi kwakuwa ilishasemwa kwamba pesa haina shujaa.
Mleta mada ndio mnafiki......Waliofukua huu uzi.
Huna lolote........Endeleeni na huu mchezo wenu very soon nitawaumbua. Ngoja niendelee kukusanya data.
Mkuu unajitetea, kama sasa hivi unamsapoti Lowassa, basi u mnafiki kwa kiwango cha sateliteKuna MOD buku 7 yuko busy kufukunyua threads zangu za miaka ya nyuma, labda kwa akili yake fupi anadhani kutatokea contradiction ya msimamo wangu miaka ya nyuma na sasa.
Anajisumbua sana mimi huwa sikurupuki na kuwa mfuata upepo hivyo kuyumbishwa leo unasema kauli hii, kisha kesho unabadili kauli ili mradi hujitambui.