Hahahahahah nimecheka baada ya kuisoma hii kibaraka, alafu utakuta punguwani kama huyu anaita wasio kubali upinzani hawajitambui
Watu wanafiki jamani?
Yaliyopita sio ndwele...
Yashapita hayo.
hahaha jamani tuwe na akiba ya maneno. ona leo hii mleta mada anavyopata aibu
huyo EL ndo pepo kubwa kumuingiza ikulu ni kuleta majanga zaidi tanzania.
Kama tangu lowassa amejiunga CHADEMA mleta Uzi aliwahi kusema ni msafi na sio mtoa rushwa basi hapo atapata aibu..kama hajawahi kusema hayo basi sioni aibu kwake..hahaha jamani tuwe na akiba ya maneno. ona leo hii mleta mada anavyopata aibu
Fuatilia post zingine baada ya October 2015 anamsafisha kwelikweli .Kama tangu lowassa amejiunga CHADEMA mleta Uzi aliwahi kusema ni msafi na sio mtoa rushwa basi hapo atapata aibu..kama hajawahi kusema hayo basi sioni aibu kwake..
Tatizo kuna watu wana-bet kwa wanasiasa ambao wanaongea sana badala ya ku-bet kwa wanasiasa wanaotenda.Huu uzi 'unamchoma' sana 'Swahiba wangu' BAK. Siasa za Tanzania ni pasua kichwa. Kwa wale wacheza kamali...usijaribu hata siku moja 'ku-bet' kwa wanasiasa na washangilia siasa. Bet kwa watekelezaji wa mipango ya kuwakomboa wananchi bila kujali nafasi yake.
Watu wanafiki jamani?
Yaliyopita sio ndwele...
Yashapita hayo.
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Halafu bado anataka aendelee kuaminika humu. Ukimpa za uso anaporomosha mitusi alivyo na domo chafu. Sijui kwanini sikuhizi MODS wanafumbia macho matusi. Zamani ukitukana ilikuwa unakula ban on the spot. Sijui bana, twendeni hivi hivi kwakuwa ilishasemwa kwamba pesa haina shujaa.Duh blaza umeniacha domo wazi, isije ukawa u mnafiki namna hii in real life, yani lawama zote hizi kumbe mwaka 2013 ulikuwa unamtuhumu lowasa mla rushwa alafu nina uhakika asilimia 99 ulimchagua 2015 na upo side yake sasa hivi. Vinyonga mnashangaza sana, nyinyi ni mojawapo ya maajabu ya Tanzania. Aiseeeeeee!

Waliofukua huu uzi.Sasa wanafiki akina nani?
Roho nyeupe ndio kitu gani? Kuna mtu ambaye ana roho nyeupe!!!Lowassa ana nywele nyeupe lakini roho yake si nyeupe, kuweni makini watanzania!