Sumaye amgwaya Lowassa!

sumaye kweli mr zero! Kila mtu anajua rushwa za ccm, kipi kipya kilichomsukuma zaidi ya rushwa?
I wish waandishi wangemwuliza kabla kama alikuwa na kipya tofauti na hizi pumba
 
Last edited by a moderator:

Inajulikana wazi kwamba hivi sasa CCM ipo katika utaratibu wa kujikaanga.

Kitu kinapokaangwa pia ni lazima kuwepo vikorombwezo vya aina mbalimbali ili kuleta ladha sawia.
 
N00B na Wana JF,
Tunashukuru kwa kazi kubwa ya kutuabarisha yaliyojiri,
Kwa maoni yangu hapo, hakuna JIPYA alichoongea, amefunga safari toka Arusha aka Hanang mpaka Dar kuja kuongea *****, ni bora angeyasema huko huko, ametupa Attention kutaka kusikia, ameishia kuongea Mafumbo.
My Take: Ifikie wakati Wanasiasa wawe Wajasiri kwa kuongea UKWELI.
Nawakilisha



Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu
 
Kama unataka biashara zako zifanikiwe peperusha bendera ya CCM "Sumaye"

By the way he was JK's boss by then and the later Kiss his *ss kwa sana to be wherever he is! They aren't different at all.
 
Sumaye alikuwa na nia ya kutiririka tatizo amevujisha siri mapema. Kama kawaida magamba wakampa angalizo na baada ya kuchekecha akapotezea.Tunao magamba tunaowakubali lakini ninachojua "TIME WILL TELL NOT SO LONG"

usicheze na system hasa kama we mwenyewe ni mchafu.
Sumai anajijua madudu yake ndomana hana ujasiri wa kupambana kikwelikweli, huwezi kukemea ufisadi wakati na wewe ni miongoni mwao.
 
Sumaye, sumaye bwana shamba wa SKU uyole mbeya. Nakumbuka uliwahi sema anayetaka kufanya biashara aje ccm! Sasa biashara wamefanya mpaka uvunguni kwako, chezea ccm veve! Umepitwa na wakati, wewe ni masalia HATUKUHITAJI, baki huko huko magamba.
 
Inawezekana kweli alitaka kuongea kitu kingine, on the way akatishwa ikabidi achange haraka ndo maana hotuba yako imekosa mashiko....
 
Mimi nafikiri mkubwa huyu apumzike kwani amekwisha ona kuwa magamba wezake wanavyotafuta utawala kwa njia ya mlungula
 
ni vyema tukajikumbusha kuhusu mkutano uliopita kati ya sumaye na waandishi wa habari mwezi machi 2011

 
Ni binadamu dhaifu pekee,asiyeweza kutekeleza mambo yaliyokwisha kuamuliwa...R.I.P Sokoine!
 
Reactions: Ame
Kama mlitegemea atangaze anahamia chadema mmeliwa. Hivi hii si hadithi ya sizitaki mbichi hizi??? Kerere za machura zimezidi. Kumshabikia sumaye ilikuwa ni kutaka ajiunge na mavuvuzera ya slaaa haingii ngooo,

ubabe wa chadema wasomi udsm wamesema nini vile? teh teh teh teh uwongo na uzandiki kumbe una chuki na cdm mods wakastukia wakakachanilia mbali kathread kako teh teh teh.
 
Nashukuru mkuu kwa kutukumbusha yaliyotokea mwaka mmoja nyuma .Sasa kama ndiyo hivyo kwanini mkubwa huyu ameamua kufunika kombe mwanaharamu apite?
 
Silly! Mlolongo wa woga unazudi kukua, tunaye
Mwakyembe (nimepewa sumu nikirudi nitaja ongea kila kitu... kimya) ,
Dr. Ulimboka ( niombeeni nipone naja kumtaja aliyenikwida ...kimya),
Frederick Sumaye (Sina ubaya na mtu yeyote akimaanisha anawaonyesha hana kinyongo wamtafutie pa kumweka apate namna ya kuishi shame eeh... au mnajisafisha kwa Masai/Mmeru ili asije akawafanya kitu mbaya?
 
SUMAYE is a sounding BRASS.... hana la maana wazee kama hawa bora wakae vijijini walee wajukuu zao
 
Sijaona la maana hapa zaidi ya bla bla za kila siku za wanasiasa wetu na tumezoea haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…