Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Hilo naliandika kama Onyo Kuu!!.
Tupo katika Nchi ambayo Kwa Sasa Visasi vimeshika Kasi kwelikweli !!.
Tumeona hapa, wapo walikua wanashauri, ila wakaonekana ni waaasi, wapo walokosoa wameonekana ni WAHAINI na Kila Mmoja ameshughulikiwa Kwa namna yake.
Unaweza kujaribu kuwazaz Nini itakua Hatima ya Wazee Hawa
Mzee Butiku?
Mzee Warioba?
Mzalendo Polepole
Mzalendo Gwajima
Mzalendo MPINA?
Nini itakua Hatima ya Mh LISSU na CHADEMA ??.
Chondechonde , Narudia Chonde chonde, IWE KWA DAMU NA KWA JASHO, MCHAKATO URUDIWE UPYA, UWE WA WAZI, WATU WACHUKUE FOMU, KILA HATUA IFANYIKE.
NCHI INAHITAJI RAIS AMBAYE ANAKUJA KUPONYESHA MAJERAHA !!.
Tupo katika Nchi ambayo Kwa Sasa Visasi vimeshika Kasi kwelikweli !!.
Tumeona hapa, wapo walikua wanashauri, ila wakaonekana ni waaasi, wapo walokosoa wameonekana ni WAHAINI na Kila Mmoja ameshughulikiwa Kwa namna yake.
Unaweza kujaribu kuwazaz Nini itakua Hatima ya Wazee Hawa
Mzee Butiku?
Mzee Warioba?
Mzalendo Polepole
Mzalendo Gwajima
Mzalendo MPINA?
Nini itakua Hatima ya Mh LISSU na CHADEMA ??.
Chondechonde , Narudia Chonde chonde, IWE KWA DAMU NA KWA JASHO, MCHAKATO URUDIWE UPYA, UWE WA WAZI, WATU WACHUKUE FOMU, KILA HATUA IFANYIKE.
NCHI INAHITAJI RAIS AMBAYE ANAKUJA KUPONYESHA MAJERAHA !!.