Nimenunua jana sehemu za kanga kwenye duka la jumla ila na rejareja anauza.ngj leo nikitoka mihangaikon nitauliza !
Nimenunua jana sehemu za kanga kwenye duka la jumla ila na rejareja anauza.ngj leo nikitoka mihangaikon nitauliza !
Wewe usifananishe kenya na sisi wao mpaka waliuana kwa mambobya uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hama nchi kama hauna hiyo shs 4000Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
Wewe mburura wa Kichina, soma vizuri, hakuna alipoandika ksh5600 unapaswa kumuuliza kwanza kama hiyo ksh, au kaishaichange to Tsh.Wewe ni mujinga sugu umezoea kudanganya wapumbavu wenzio wa lumumba ksh 5600 unajua thamani yake au unaropoka tu,ficha ujinga wako sio kila kitu kujifanya unajua ksh 5600 ni zaidi ya laki moja ya tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani chagadema watakuelewa basi, maana elimu ndio hiyo ya kelele na kupinga! TARIME wanaanda kiwanda pia cha sukariInatengemeana na sehemu but huku kwetu nin Tzs 2,800/= but viwanda vimeanza uzalishaji soon tu itapungua, sasa Kilimanjaro wanazalisha, Kilombero, Kagera na Mo nae amewekeza kwenye hii sekta ya sukari soon tu bei itapungua.
Si unaona mwaka wa mabala huu mvua hilikuwa kidogo.
Hamia huko Kenya usipimwe mikojoKenya pia Kenyatta kapiga marufuku vyama vingine kufanya siasa? Umewahi kusikia Kenyatta anakamata wapinzani wake wanapomkosoa kwa kumpa ukweli wake? Umewahi kusikia Odinga kupimwa mkojo kwa kusema ukweli. Iweje tujifananishe na Wakenya kwenye sukari na sio kwenye hayo mengine? Bajeti ya kilimo ya Kenya ni dhaifu kama hii yetu? Kumbuka kundi kubwa hapa kwetu ni wakulima, je serekali inawajali wakulima wetu kwa vitendo au ni porojo tu?
Acha ifike laki 1, kwa mmeombwa mnywe chai?. Mmemchagua wenyewe ta ta n..Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
Hii ndio tanzania ya viwonderNi miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
Usilibganishe uchumi WA Kenya na hapa kwetu.Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.
Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
wale watengeza mchele wa plastiki hawajugundua sukari ya plastiki tu?Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
me nimeshasahau kutumia huo utam.. napiga dry bila utam nshezoea tayari.. kama kunywa GAHWA!Mbona huku kwetu ni 2600
......
Umeonaaa kumtaja lissu kutapunguza beiyasukariNi miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.