kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,624
- 1,826
Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
me sujui bei ya sukari maana chai mapiga restaulant