Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa......huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina lisssu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani......
upo pande gani ya jamhuri hii?
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Mkuu kenya 5600 ngoja n8 calculete hapa nione kenya wananunua kilo ya sukari kwa laki ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wako bussy kuisoma namba kila mtu aisoma kivyake

Mkulu ataki kukosolewa
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Mpuuz mkubwa ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukiwa ndani ya lori (box board) huwezi kuona nje! Labda tunaelekea korongoni sasa kama sio kuporomokea kreta ya Ngorongoro!!
Lakini bado mtikisiko utakaousikia ukiwa kwenye hilo lori utakuonyesha tu kwamba huko tuendako sio salama
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Wewe ni mujinga sugu umezoea kudanganya wapumbavu wenzio wa lumumba ksh 5600 unajua thamani yake au unaropoka tu,ficha ujinga wako sio kila kitu kujifanya unajua ksh 5600 ni zaidi ya laki moja ya tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijanunua sukari kwa muda sasa ngoja nitaulizia bei maana yawezekana tunalishwa tango pori hapa
 
Inatengemeana na sehemu but huku kwetu nin Tzs 2,800/= but viwanda vimeanza uzalishaji soon tu itapungua, sasa Kilimanjaro wanazalisha, Kilombero, Kagera na Mo nae amewekeza kwenye hii sekta ya sukari soon tu bei itapungua.
Si unaona mwaka wa mabala huu mvua hilikuwa kidogo.
 
Wataisoma namba hao Chadema, wao si ndio wanakunywa chai na vitu vya sukari? Sisi ccm tunaoishi kama mashetani (according to mwenyekiti wetu) tumezoea uji wa chumvi hivyo tunayo furaha isiyo kifani wao nao kushindwa kununua sukari!
Sizonje hoyyeee
D.Uc. juuu juuu juuu zaidi. Tumeamini kweli yeye ni kiongozi wetu sisi wanyonge kwa juhudi zake za kuhakikisha maisha ya Watanzania wote yanavurugika na kuishi kimaskini kama sisi tuliokuwa masikini kwa zaidi ya miaka 50, hii inaitwa ngoma draw au bampa to bampa
 
Wataisoma namba hao Chadema, wao si ndio wanakunywa chai na vitu vya sukari? Sisi ccm tunaoishi kama mashetani (according to mwenyekiti wetu) tumezoea uji wa chumvi hivyo tunayo furaha isiyo kifani wao nao kushindwa kununua sukari!
Sizonje hoyyeee
D.Uc. juuu juuu juuu zaidi. Tumeamini kweli yeye ni kiongozi wetu sisi wanyonge kwa juhudi zake za kuhakikisha maisha ya Watanzania wote yanavurugika na kuishi kimaskini kama sisi tuliokuwa masikini kwa zaidi ya miaka 50, hii inaitwa ngoma draw au bampa to bampa


hoyeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.

Kenya pia Kenyatta kapiga marufuku vyama vingine kufanya siasa? Umewahi kusikia Kenyatta anakamata wapinzani wake wanapomkosoa kwa kumpa ukweli wake? Umewahi kusikia Odinga kupimwa mkojo kwa kusema ukweli. Iweje tujifananishe na Wakenya kwenye sukari na sio kwenye hayo mengine? Bajeti ya kilimo ya Kenya ni dhaifu kama hii yetu? Kumbuka kundi kubwa hapa kwetu ni wakulima, je serekali inawajali wakulima wetu kwa vitendo au ni porojo tu?
 
Lakini bado mtikisiko utakaousikia ukiwa kwenye hilo lori utakuonyesha tu kwamba huko tuendako sio salama
Hilo litajulikana pale unapogusa paji la uso kujua umajimaji unaotiririka kwenye paji la uso ni jasho au damu!!
 
Kwa upande wangu naona kama nchi imesimama vile..Vitu haviendi kila kona,vitu vinapanda bei kila kukicha,shilingi yetu inazidi kupoteza thamani kila siku,deni la taifa linaongezeka. Honestly,sijui tunaelekea wapi. Halafu watu wanapiga siasa uchwara eti aongezewe muda wa kutawala. Hatuko serious kabisa
Comrade Majighu2015
Nikuibie siri moja ya maisha kwa namna Tanzania inavyoendelea kupoteza thaman ya Fedha yake

....nimeanza kuweka % ya mapato yangu kwa kibubu cha Dollar kwa benki kila mwezi kuanzia July hii 2017.

Inshallah Mungu akitupa uzima hadi 2040 nitaenda kudroo na kuanza kula pesheni yangu ya kustaaf taratibuuuu nikiwa na My Wife . Hiyo ni miaka 23 kutoka sasa

Wakati huo Dollar inaweza kuwa 2700 na kuendelea

Nchi hii bila kujiongeza, Wanasiasa wataendelea kunufaika na sisi

Chief Economist
 
Comrade Majighu2015
Nikuibie siri moja ya maisha kwa namna Tanzania inavyoendelea kupoteza thaman ya Fedha yake

....nimeanza kuweka % ya mapato yangu kwa kibubu cha Dollar kwa benki kila mwezi kuanzia July hii 2017.

Inshallah Mungu akitupa uzima hadi 2040 nitaenda kudroo na kuanza kula pesheni yangu ya kustaaf taratibuuuu nikiwa na My Wife . Hiyo ni miaka 23 kutoka sasa

Wakati huo Dollar inaweza kuwa 2700 na kuendelea

Nchi hii bila kujiongeza, Wanasiasa wataendelea kunufaika na sisi

Chief Economist
Cc Princess rubii

Chief Economist
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Rubbish, ilikuwa 1800 Tsh kabla ya wehu ulioufanya wewe hapo Troll

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom