Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

nilinunua kilo 30 mwezi Jana..sijafeel hiyo bei...poleni mjifunze kununua kununua kwa wingi
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.

Acha uzezeta wewe,sukari ilikua 1800/- baada ya Rais kuingilia soko ndio imepanda. Mnachoweza nyie ni kupiga kelele na ubaguzi tu.
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Hizo 5600- 6000 ni Ksh au Tsh?
 
Mimi nimenunua jana 2600 huku Yombo Vituka, baadhi ya maduka wanauza 2800
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
sio kweli ndio maana kuna tume ya ushindani,hii ndio kazi yake hiyo,hakuna bei holela,soko ndio linapanga bei lkn msimamizi anaangali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
so we are living with reference to Kenya? acha kuwa na akili finyu mzee
 
Mm nausubiri ifike 10,000 ndiyo nitaongea
 
Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina Lissu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani.
Sie tunasubiria maandamano ya kumpongeza Bwn Mkubwa. Mwenye ratiba aiweke nijiandae!
 
Wewe ni mujinga sugu umezoea kudanganya wapumbavu wenzio wa lumumba ksh 5600 unajua thamani yake au unaropoka tu,ficha ujinga wako sio kila kitu kujifanya unajua ksh 5600 ni zaidi ya laki moja ya tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani Kakwambia Kenya shillings Tena Usifikiri Mimi Mbumbu Kama wewe! Nina Concept za Money Markets kuliko Unavyofikiri Just Soma Vizuri nilishopost na Siyo Kuongeza Maneno ambayo sijayaandika.
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Ila kipindi kile waliposema bei elekezi ya sukari ni 1800!!walikuwa na la kufanya ila wakashindwa?? Hakuna kitu amabachi serikali inaweza shindwa japo kwa kupunguza makali ya bei kama ikiamua!! Kuna sehemu nyingi tu za kurekebisha kidogo hasa kwenye mambo ya kodi na mwanachi akapata nafuu.
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Unaweza kutuambia kwa nini kukitokea njaa nchini serikali huagiza chakula nje ya nchi?
 
Back
Top Bottom