Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
 
Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa......huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina lisssu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani......
acheni bei zipande zote huku mishahara na vipato vikishuka au kutokidhi mahitaji maana tumeshaambiwa asiyefanya kazi na asile! Acha uchochezi si lazima kunywa chai na kama maisha ni magumu tumeshaambiwa tukalime kwani serikali haitoi msaada!!
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Huu ugoro kamdanganye house girl wako nyumbani
 
Kwa upande wangu naona kama nchi imesimama vile..Vitu haviendi kila kona,vitu vinapanda bei kila kukicha,shilingi yetu inazidi kupoteza thamani kila siku,deni la taifa linaongezeka. Honestly,sijui tunaelekea wapi. Halafu watu wanapiga siasa uchwara eti aongezewe muda wa kutawala. Hatuko serious kabisa
 
Ni miezi miwili sasa bei ya sukari haikamatiki lakini watu kimyaa......huku serikali iko bize kukamata wachochezi inasahau mfumko wa bei ni mchochezi hatari zaidi ya kina lisssu ,maisha yanazidi kuwa magumu mtaani......
Ni kweli kabisa unachosema Hopaje sasa una mapendekezo gani? Kumbuka jambo hili kingetokea nchi nyingi ambapo dhambi ya woga ilishakoma, moto ngewaka lakini sisi wenye nidhamu woga tufanyeje?
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Utetezi wa kilumumba huu
 
Kwa upande wangu naona kama nchi imesimama vile..Vitu haviendi kila kona,vitu vinapanda bei kila kukicha,shilingi yetu inazidi kupoteza thamani kila siku,deni la taifa linaongezeka. Honestly,sijui tunaelekea wapi. Halafu watu wanapiga siasa uchwara eti aongezewe muda wa kutawala. Hatuko serious kabisa
Mkuu ukiwa ndani ya lori (box board) huwezi kuona nje! Labda tunaelekea korongoni sasa kama sio kuporomokea kreta ya Ngorongoro!!
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Ko tukae kimya sababu kote bei inapanda? ni wajibu wa serikali kutatua changamoto kama hzo kwa kuwaangalia watu wake kama wanamudu au hawamudu

Philips X2560
 
Ni kweli kabisa unachosema Hopaje sasa una mapendekezo gani? Kumbuka jambo hili kingetokea nchi nyingi ambapo dhambi ya woga ilishakoma, moto ngewaka lakini sisi wenye nidhamu woga tufanyeje?
kuna vitu vinamgusa kila mtu ni muda tu bado huu uoga wetu utaondoka wenyewe na watu wataanza kujitambua....uchochezi unahitajika zaidi
 
Kama Serikali ya Nduli iko busy kupima baadhi ya watu mikojo ili kuona kama wana chembe chembe za uchochezi ili ikawashtaki mahakamani, sijui tunategemea kuna bei ya sukari itashuka hapo?
 
Sukari ni Tatizo Afrika Mashabiki nzima Kenya Wananunua kwa Sh. 5,600-6,000/Kg tuna bahati sana kuipata kwa sh. 4,000 siyo Suala la Kuanza kuilalamikia serikali Supply ni ndogo na Tanzania Tumeimarisha Bandari na Mipaka Smuggled Sugar haingii tena.

Kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya vyenye Capacity ya Kulisha Tanzania nzima.
Nini kilitokea Zambia Sembe ilipopanda bei? Nini kimetokea hivi majuzi Misri mkate ulipopanda bei? Ukiona vitu vinapanda bei na watu wako kimya JUA KUNA WIZI MKUBWA UNAENDELEA KATIKA HIYO NCHI KAMA SIO UFISADI. Vitu haviwezi kupanda bei kinyume na hali ya kipato ukaweza kujikimu. Ki-akili ya kawaida ina maana tunaishi bila bajeti ikimaanisha kuna mahala tunatoa pesa za ziada ambazo si halali! Ki-akiliccm wizi/ganji/takrima/uhujumu ni vitu halali na sahihi ili tusipige kelele za kuumia bei zinapopanda bila kipato kuboreka
 
Back
Top Bottom