Moorio
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 407
- 587
Ya Malawi siyo TPC wala Kilombero...
Mm baada ya kuzoea kuzama chumvini kwa demu wangu situmii tena sukari natumia chumvi tu kwenye chaiHuku arusha nimeenda dukani nikauziwa kilo moja ya sukari shilingi 3500 ..he huko mliko nyie mnauziwa shilingi ngapi..?mpaka nimeshtuka..huku muuzaji akisema tokea juzi sukari imepanda bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Sh 3000/-Huku arusha nimeenda dukani nikauziwa kilo moja ya sukari shilingi 3500 ..he huko mliko nyie mnauziwa shilingi ngapi..?mpaka nimeshtuka..huku muuzaji akisema tokea juzi sukari imepanda bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwacha imeshuka hadi sh ngapi mkuu maana naweza zamia hukoTunduma tsh 1600 per kg, yaani sisi mahitaji yetu tunavuka upande wa Zambia tunanunua home groceries tunakuja kula tz! Na hivi kwacha imeporomoka! Acha tuu ni kuteleza tuu mda huu! Nao Wana lockdown ya bar zao zote zimefungwa so nao mambo ya pombe wanakujua wanatelezea kwetu tz side! Life goes on! Raha ya border.