Mpwechekule
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 221
- 55
Nimeamini mbunge mmoja CDM ni sawa na wabunge 20 sisiemu.
kama wanaichi tungekuwa tunajitambua ccm labda wangebaki wabunge 10 tu. kwani 98% ya wabunge wake wanatetea matumbo yao chama chao pamoja na serikali yao huku wakijua wanapaswa kuwawakilisha wanaichi, kimsingi hawafai