Sugu: Tatizo la hukumu ya Bandari siyo Mahakama bali kukosekana Uzalendo kwa Bunge lililoteuliwa na mtu mmoja ambaye ni Hayati Magufuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,038
Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema ukiisoma kwa Makini hukumu ya Bandari iliyotolewa jana utagundua tatizo Kuu ni Ukosesefu wa Uzalendo wa Wabunge ambao kimsingi wote waliteuliwa tu na mtu mmoja Magufuli hivyo hawamuwakilishi mwananchi bali aliyewateua.

Sugu anasema ushahidi ni pale Majaji 3 wanaposema kuna vifungu Vya kurekebisha, maana yake Watu 400 bungeni walivifumbia macho vifungu hivyo.

My take: Ikumbukwe Sugu siyo Mwanasheria.

Jumaa kareem 😄😄
 
Mjumbe wa kamati Kuu ya Chadema mh Joseph Mbilinyi amesema ukiisoma kwa Makini hukumu ya Bandari iliyotolewa jana utagundua tatizo Kuu ni Ukosesefu wa Uzalendo wa Wabunge ambao kimsingi wote waliteuliwa tu na mtu mmoja Magufuli hivyo hawamuwakilishi mwananchi bali aliyewateua.

Sugu anasema ushahidi ni pale Majaji 3 wanaposema kuna vifungu Vya kurekebisha, maana yake Watu 400 bungeni walivifumbia macho vifungu hivyo.

My take: Ikumbukwe Sugu siyo Mwanasheria.

Jumaa kareem
TANZANIA HAKUNA BUNGE KUNA WAJUMBE WA CCM NDANI YA MAJENGO YA BUNGE
 
Mkuu Sugu umenena vyema sana;
Bunge ni kamati ya CCM (Uzalendo kwa hawa watu hakuna)
BUnge limeingia madarakani pasipo kura za wananchi (Uzalendo pia hakuna hapo)
Bunge lina watu wengi wasio na elimu stahiki ya kuchambua mambo. (hawaelewi walichopitisha)
Nahisi pia wengi wao huwa hawasali kabisa (hawawezi kuwa na hofu ya Mungu)
 
Najaribu kufikiria psychology ya watu wanaong’ang’ania IGA inamatatizo.

I can’t imagine hiko kichwa kinapata vipi amani yani ukae kila siku unajiaminisha jambo la uongo ndio ukweli na unahubiri huo mtazamo wako kwa watu kabisa with confidence.

Imagine unaishi kwenye jamii ya watu wa aina hiyo au unafanya kazi na watu wa aina hii; personal ata unilipe tsh 50 million kwa mwezi nifanye kazi au niishi na watu wa aina hii ntakwambia no way (na ndio 80% ya watanzania).

How do you even sleep at night or get peace of mind kwa kuishi na uongo au kujiaminisha uongo; aisee amakweli socialisation inachangia sana namna ubongo unavyoweza fikiria.

It’s beyond me watu wanaoweza kuishi na uongo kwenye vichwa vyao.
 
Hili jamaa kubwa jinga kweli ndio maana bichwa kubwa akili makamasi..kwa hiyo na mahakimu waliidhinishwa na Magu? Na mkataba aliuasisi Magu?

Yeye atafute mbinu nyingine za kuingia bungeni..si alishasema atamtoa tulia ackson? Au anajipendekeza kwa samia ili apewe ubunge kama alivyoambiwa nae akaamini?
 
Najaribu kufikiria psychology ya watu wanaong’ang’ania IGA inamatatizo.

I can’t imagine hiko kichwa kinapata vipi amani yani ukae kila siku unajiaminisha jambo la uongo ndio ukweli na unahubiri huo mtazamo wako kwa watu kabisa with confidence.

Imagine unaishi kwenye jamii ya watu wa aina hiyo au unafanya kazi na watu wa aina hii; personal ata unilipe tsh 50 million kwa mwezi nifanye kazi au niishi na watu wa aina hii ntakwambia no way (na ndio 80% ya watanzania).

How do you even sleep at night or get peace of mind kwa kuishi na uongo au kujiaminisha uongo; aisee amakweli socialisation inachangia sana namna ubongo unavyoweza fikiria.

It’s beyond me watu wanaoweza kuishi na uongo kwenye vichwa vyao.
Umesoma na kurudia kusoma ulichoandika na kukielewa!!??
 
Umesoma na kurudia kusoma ulichoandika na kukielewa!!??
Inabidi uwe eclectic kidogo unapojisomea. Elementary knowledge ya ‘determinism psychology’ theories au hata abc ya ‘group sociology’, such as Durkheim theory. With that elementary knowledge hiyo post sio ngumu kun’gamua.

Hili ni jukwaa la average people and that’s an average post, but then an average person is supposed to be informed in variations.
 
Back
Top Bottom