Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?
Uyasemayo ni kweli, nakumbuka aliyepokelewa kifalme ni Mkapa peke yake; akalewa sifa akaishia kuropoka na kufyatuka kuwa Vicent Nyerere si wa nasaba ya ukoo wa Nyerere!!