Wabunge wa chadema Mr Sugu na Halima Mdee Jana wameweka kambi katika kitongoji alikotekwa mwenyekiti wa Tawi wa chadema na kufanya mkutano mkubwa pasipo mgombea wa chadema ndugu Joshua Nassari na kukonga nyoyo za watu katika kitongoji hicho hatimae wajumbe wa nyumba kumi kumi wapatao sita kukabidhi kadi zao za chama cha mapinduzi kwa Sugu na Halima Mdee na kujiunga Chadema hii inaashiria kuwa chadema ina watesa ccm katika kampeni Arumeru.