Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
magamba hawafai hii mikono ndo ilivyoyamwakyembe my homeboy!Ulikuwa unadanganywa na nani?
Kumbe upo upo tu!!.......Unapelekwa pelekwa tu.....
kanawe uso........
magamba hawafai hii mikono ndo ilivyoyamwakyembe my homeboy!Ulikuwa unadanganywa na nani?
Kumbe upo upo tu!!.......Unapelekwa pelekwa tu.....
kanawe uso........
Ulikuwa unadanganywa na nani?
Kumbe upo upo tu!!.......Unapelekwa pelekwa tu.....
kanawe uso........
Wabunge wa chadema Mr Sugu na Halima Mdee Jana wameweka kambi katika kitongoji alikotekwa mwenyekiti wa Tawi wa chadema na kufanya mkutano mkubwa pasipo mgombea wa chadema ndugu Joshua Nassari na kukonga nyoyo za watu katika kitongoji hicho hatimae wajumbe wa nyumba kumi kumi wapatao sita kukabidhi kadi zao za chama cha mapinduzi kwa Sugu na Halima Mdee na kujiunga Chadema hii inaashiria kuwa chadema ina watesa ccm katika kampeni Arumeru.
O k kwa hiyo unasemaje sasa ?Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?
Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?
Ole wao wamdhuru kiongozi yeyote wa cdm,wataelewa kuwa hapa ni meru
Akili yako haina tofauti na punje ya ulezi
Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?
...huyu Wassira hapa anatafuna nini?...Aliyekwambia Joseph Mbilinyi amekwenda Arumeru Mashariki ni nani?
Umeamka usingizini au bado unaota??!!!
umekosea hapo badala ya hatuna sema hawana, kwasababu unaonekana sio wa kundini wewe.Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?
Tangu kuanza kwa kampeni za Ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, kumekuepo na Mfululizo wa Viongozi wa Chadema kwenda kuongeza nguvu kila walipogundua kuwa wanalemewa, lakini ninachojiuliza ni Kiongozi gani wa Chadema aliyepokelewa kama Mfalme Arumeru? Nauliza hivyo kwa sababu Alianza Vicent Nyerere , Tanzania Daima wakapamba gazeti lao, apokelewa kama Mfalme. Akafuatia Joseph Mbilinyi, gazeti likapamba ukurasa wa mbele tena Apokelewa kama Mfalme. Juzi tena Katibu Mkuu amekwenda naye UFO SARO kampamba kwamba amepokelewa kama Mfalme. Nani Mfalme? VICENT, MBILINYI AU SLAA?
My take: CHADEMA hatuna MALKIA naye akapokelewa Arumeru?