Pole sana, unaumia kweli sema ndo huna jinsi! vumilia tu ndugu!Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii
kaka kama umekosa la kuandika nibora ukampumzika j2 hii.hv huo usanii wa sugu unakukera sana kweli nyani haoni masabuli yako mbona lidudu mtu lenu komba ni msanii na amefanya nini la maana.
Ingia hapa upate uhakika, Joseph Mbilinyi (Mr II - SUGU)Ile picha ni ya kipindi kile cha kampeni siyo ya leo.
Wana JF hivi mmeona kwenye taarifa ya habari itv jinsi mbunge wa mbeya mjini alivyojaza mtu kwenye mkutano na wapiga kura wake.?
Wabaya wa sugu mtachonga sana lakini Sugu ni level nyingine. Hata kama watu hawampendi ama wanaona hafai, but anapendwa sana na kuaminiwa sana na wapiga kura wake thats enough. Sugu moto chiniii..
Tabora wabunge wake wote wanatoka magambani vipi kuna maendeleo!?
Mbona unakimbilia ku judge,"walimshangilia kama msanii" why? unawasemea wao? kwanini basi isiwe kama mbunge? unaonekana una tatizo zaidi la kibinafsi nae
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.
Inaonekana unahasira sana kwa jinsi SUGU anavyo kubalika,
Vipi Kashindye Igunga alivyokuwa anajaza watu kwenye mikutano yake...
Aende Komba msanii kama atapata watu! Acha wivuMbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.
![]()
Nilishawahi kusema polisi wetu ni unifomu tu hawana mbinu zozote za kukabiliana na vurugu kubwa, ona hapa hadi wanajeshi wameingilia.
Sina tatizo na Sugu anapenda maisha ya ki-hiphop (uwana-harakati) lakini nadhani alitakiwa ayafanye haya mapema ili kuzuia uharibifu uliotokea. Pia ana direct influence kwa mkuu wa mkoa kwa hiyo alikuwa na uwezo(ambao najua anao) wa kupambana na mkuu wa mkoa kuhusu kitu sahihi kilichotakiwa kufanywa kwa ajili ya wamachinga. Hii ingesaidia wamachinga wasiingizwe kwenye fujo na ndio maana ya UWAKILISHI BORA kuliko kusubiri mpaka wamachinga waingie barabarani. Tuchukue mfano wa Dr Slaa na viongozi wengine wa kariba yake ambao hubaini matatizo mapema na kupambana nayo kabla ya kuutarifu umma inapoonekana kuna ukakasi kwenye utekelezaji.
Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii
Pole kwa wivu mkuu:
hapo red;
JIBU ni NDIYO kwa sababu aliacha kikao cha bunge kuja kuwasikliza wananchi wake ambao: Walimchagua kwa kura za kishindo, Walio mwamini na wanao mwamini hadi sasa. Mi nipo MBY Sugu anakubalika sana ndiyo maana tangu jana hakuna kiongozi aliye jitokeza kuongea nao ili kutuliza gasia za saa zaidi ya 36 Elewa Sugu ni MBUNGE
Hapo blue;
Sasa wewe unataka atoe kauli za kuudhi, kuumiza, kukera wananchi kama " waTz watakula nyasi ila ndege lazima inunuliwe '' Hapa umechemka. Hivi unadhani maendeleo yanaletwa na mtu mmoja ? Ni lazima kucouple mawazo hata ya machinga mkuuuuu
Hapo bold black;
Kwa hiyo we unasemaje, kwa issue kama hii vurugu masaa 36 nonstop hapahitajiki mkutano wa kujadili tatizo na solution zake au unafikiri vikao vya viongozi vinavyoambatana na posho vinatosha ? Ninavyojua mimi maendeleo ya kweli yanakuja kwa kufanya mikutano mikubwa ya pamoja kujadiliana/kuelimishana vipau mbele vya maendeleo kuliko kwa utaratibu huu watu wachache wanajifungia wanagawana posho kisha wanakuja na maamuzi ya kuudhi wananchi kama hawa wa MBY wanao mwaga michele ya akina mama maana ndiyo kiini cha ugomvi
Naomba nikushauri
- Tulia sana kabla huja comment jambo usilolojua vema
- Usitumie mbege inaharibu uelewa wa mambo ya msingi na inakufanya uje na majibu/hoja nyepesi kwenye issue nyeti
- Sugu hakuitisha mkutano wa chama ila machinga ndiyo walio muuita " YATOSHA"