Sugu moto chiniii!!!

Sugu moto chiniii!!!

kweli sugu ni kama mvua! ndio maana magamba hawalali usingizi
 
Maisha ni kuishi na kujifunza,tawala dhaifu zisizo na mikakati yoyote ya maendeleo kwa hawa vijana wanaomaliza darasa la saba na wale form four feki toka shule za kata matokeo yake ndio haya matumizi ya nguvu za majeshi kamwe hazitafua dafu tz ya sasa sio ile ya 1947,sana sana serikali inatengeneza bomu ambalo likilipuka utaita hata magari ya zima moto toka marekani bado moto hautazima.
 
Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii
Pole sana, unaumia kweli sema ndo huna jinsi! vumilia tu ndugu!
 
kaka kama umekosa la kuandika nibora ukampumzika j2 hii.hv huo usanii wa sugu unakukera sana kweli nyani haoni masabuli yako mbona lidudu mtu lenu komba ni msanii na amefanya nini la maana.

Well said mkuu! Huyu Sugu1 ni punguwani,ccm mbona imeshakuwa na wabunge wasanii wengi tu? Mudhihir mudhihir, Captain Komba to mention the few. Sugu1 unampenda mh. Sugu na ndo sababu za kulitumia jina lake. Cheki rais wa Mbeya alivyotuliza wananchi wake. Katika ukweli lazima tukiri, Sugu moto chini.
 
Wana JF hivi mmeona kwenye taarifa ya habari itv jinsi mbunge wa mbeya mjini alivyojaza mtu kwenye mkutano na wapiga kura wake.?
Wabaya wa sugu mtachonga sana lakini Sugu ni level nyingine. Hata kama watu hawampendi ama wanaona hafai, but anapendwa sana na kuaminiwa sana na wapiga kura wake thats enough. Sugu moto chiniii..

Magamba wajinyonge au wasage chupa wanywe
 
Tabora wabunge wake wote wanatoka magambani vipi kuna maendeleo!?

Wajiulize kama wameridhika na umaskini wao basi waendelee kuwakumbatia hao mafisadi wanaojua kutoa ahadi na hawajui kutekeleza
 
Mbona unakimbilia ku judge,"walimshangilia kama msanii" why? unawasemea wao? kwanini basi isiwe kama mbunge? unaonekana una tatizo zaidi la kibinafsi nae

Kama hatakuwa kibonde huyu aliye judge basi ni mtu kutoka clouds
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.

kumbe ilikuwa live show? sikujua!
 
Ccm kubalini hali halisi mliye mwita mhuni kafanya jambo kubwa kuliko nyie mnanjifanya mnabusara na mjifunze mabom na risasi za moto sio tija ktk kulianda amani bubu na kiziwi mnazohubiri na sasa tunasubiri hili la udini linaloubiriwa na ccm lilipuke cjui mtakimbilia wapi kama hatutaishia kuwagadafe
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.
Aende Komba msanii kama atapata watu! Acha wivu
 
Kwenye mabango wanamtaja Sugu kama Rais wa Mbeya. CCM inawaita wahuni lakini hawa ndio wenye kura
 
attachment.php


Nilishawahi kusema polisi wetu ni unifomu tu hawana mbinu zozote za kukabiliana na vurugu kubwa, ona hapa hadi wanajeshi wameingilia.

Hata hao wanajeshi hakuna kitu mbele ya nguvu ya umma.
 
Sina tatizo na Sugu anapenda maisha ya ki-hiphop (uwana-harakati) lakini nadhani alitakiwa ayafanye haya mapema ili kuzuia uharibifu uliotokea. Pia ana direct influence kwa mkuu wa mkoa kwa hiyo alikuwa na uwezo(ambao najua anao) wa kupambana na mkuu wa mkoa kuhusu kitu sahihi kilichotakiwa kufanywa kwa ajili ya wamachinga. Hii ingesaidia wamachinga wasiingizwe kwenye fujo na ndio maana ya UWAKILISHI BORA kuliko kusubiri mpaka wamachinga waingie barabarani. Tuchukue mfano wa Dr Slaa na viongozi wengine wa kariba yake ambao hubaini matatizo mapema na kupambana nayo kabla ya kuutarifu umma inapoonekana kuna ukakasi kwenye utekelezaji.

Sio Tanzania mjomba!!!
 
Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii

Hapa suala sio walimshangilia Sugu kama nani. Suala hapa ni kwamba Sugu ndiye ameweza kurudisha amani Mbeya na huo usanii wake!!! Mbona Kandoro na polisi wake walishindwa? Give a credit where it deserves la sivyo utakufa na kijiba cha roho!!!!

Tiba
 
Pole kwa wivu mkuu:

hapo red;
JIBU ni NDIYO kwa sababu aliacha kikao cha bunge kuja kuwasikliza wananchi wake ambao: Walimchagua kwa kura za kishindo, Walio mwamini na wanao mwamini hadi sasa. Mi nipo MBY Sugu anakubalika sana ndiyo maana tangu jana hakuna kiongozi aliye jitokeza kuongea nao ili kutuliza gasia za saa zaidi ya 36 Elewa Sugu ni MBUNGE

Hapo blue;
Sasa wewe unataka atoe kauli za kuudhi, kuumiza, kukera wananchi kama " waTz watakula nyasi ila ndege lazima inunuliwe '' Hapa umechemka. Hivi unadhani maendeleo yanaletwa na mtu mmoja ? Ni lazima kucouple mawazo hata ya machinga mkuuuuu

Hapo bold black;
Kwa hiyo we unasemaje, kwa issue kama hii vurugu masaa 36 nonstop hapahitajiki mkutano wa kujadili tatizo na solution zake au unafikiri vikao vya viongozi vinavyoambatana na posho vinatosha ? Ninavyojua mimi maendeleo ya kweli yanakuja kwa kufanya mikutano mikubwa ya pamoja kujadiliana/kuelimishana vipau mbele vya maendeleo kuliko kwa utaratibu huu watu wachache wanajifungia wanagawana posho kisha wanakuja na maamuzi ya kuudhi wananchi kama hawa wa MBY wanao mwaga michele ya akina mama maana ndiyo kiini cha ugomvi

Naomba nikushauri

  • Tulia sana kabla huja comment jambo usilolojua vema
  • Usitumie mbege inaharibu uelewa wa mambo ya msingi na inakufanya uje na majibu/hoja nyepesi kwenye issue nyeti
  • Sugu hakuitisha mkutano wa chama ila machinga ndiyo walio muuita " YATOSHA"

Safi sana mkuu. Lakini analaysis nzito kama hizi watakuelewa kweli hawa magamba, si ndo utaona wanafanya semina elekezi tena.
 
Mbeya nchi rais Sugu! Viva wana Mbeya,mkoloni mweusi hana chake huko.
 
bravo kaka sugu.nilipendaalivyokuwa anaghani mashairi na wananchi kumshangilia. kweli ng'ombe hazeeki maini
 
Back
Top Bottom