Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Hayo ni makosa na si hilo tu kuna maneno kama maalumu, maskani, wataalamu, maskini magazeti na watu wasiolewa msingi wa lugha ya Kiswahili huyaandika: maalum, maskan, wataalam, maskin, na kadhalika. Kukosoa na kuwekana sawa ndiyo njia ya kuelimishana.
Mkuu huyo Ritz kasomeshwa zile shule za "DAD AM GOING".. Siunajua kule English ndo kila kitu! Wakishajua kuandika na kuongea hiyo lugha basi ndo wanajiona ma'greatthinker.. Usipoteze muda kumfundisha elimu yetu ya "St. Abdalah"..