Sugu moto chiniii!!!

Sugu moto chiniii!!!

Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.
Mbona husemi Vicky kamata, maji marefu, john komba, nkamia n.k pia wanajaza watu as ni wasanii as well.!!!!!! Halafu ndugu yangu mtanzania wa ukweli anamtaka kiongozi mwenye NJAA sio walioshiba as kuna ule usemi common unosema ALIYESHIBA HAMJUI MWENYE NJAA na UNAHOLD hata kwenye theory za uongozi!!!
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.

Aisee badisha hiyo ID yako mara moja jiite ZUZU.
 
Nimegundua huyu jamaa anayejiita Sugu1 bado kalewa kodi zetu. Karne ya 21 bado unamuona mtanzania mjinga, kuwa hajui nini kibaya na nini kizuri? Duh, hapo ndo napopata shida na watu kama hawa! Its too simple to see how the leaders are of phase with the society.
 
Wana JF hivi mmeona kwenye taarifa ya habari itv jinsi mbunge wa mbeya mjini alivyojaza mtu kwenye mkutano na wapiga kura wake.?
Wabaya wa sugu mtachonga sana lakini Sugu ni level nyingine. Hata kama watu hawampendi ama wanaona hafai, but anapendwa sana na kuaminiwa sana na wapiga kura wake thats enough. Sugu moto chiniii..

Mkuu hapo kwenye red, ebu fafanua!
Binafsi sina shida na Mh. Sugu, shida iko ktk thread yako.
  • Sugu ni level nyingine maana yake ni nini?
  • Kwa muda huu mfupi tangu achaguliwe kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini amefanya nini cha maana kwa wapiga kura wake?
  • Kujaza watu ktk mkutano kwa tafsiri yako ni kipimo cha kukubarika wa watu?
 
Wana JF hivi mmeona kwenye taarifa ya habari itv jinsi mbunge wa mbeya mjini alivyojaza mtu kwenye mkutano na wapiga kura wake.?
Wabaya wa sugu mtachonga sana lakini Sugu ni level nyingine. Hata kama watu hawampendi ama wanaona hafai, but anapendwa sana na kuaminiwa sana na wapiga kura wake thats enough. Sugu moto chiniii..

MBEYA NI NCHI NA SUGU NI RAIS WAKE! Mpaka kitaeleweka tu!
 
Mbona unajikanyaga hivyo? mara mmeona alivyokusanya watu, mara wabaya wa SUGU mtachonga, mara hawampendi wanaona hafai. Kumbe hata wewe unajua hafai unawatupia watu mpira. SUGU anajua nini , kukusanya watu siyo kigezo cha kuweza, tulishaona ona wanasiasa wengi wakikusanya watu wakiwemo akina SLAA , lakini ndo kama hivyo wanaweza nini? siasa za hasira, majungu, kashfa majukwaani na kelele za njaa ndiyo kuweza. Halafu ukumbuke kuwa SUGU ni msanii , Watu wengi wanaweza kuwa na Shauku ya kwenda kumuona Msanii na siyo Mbunge.

Acha kuongea pumba weweee
 
Nini kushangiliwa, MREMA alisukumwa mwaka 1995 sembuse kushangiliwa. Walimshangilia kama Msanii wa Kizazi kipya siyo kama Mbunge. Wana Mbeya walishamsoma SUGU kuwa ni mpenda sifa , hivyo ni lazima wampe haki yake. Wanajua wazi kwamba pale hawana Mbunge bali msanii

wewe nafikiri unaumwa.
 
Back
Top Bottom