Makamanda leo Mh.Sugu anapelekwa mahakamani mkoani Dodoma. Ikumbukwe kuwa Sugu anakabiliwa na shitaka la kumtishia kumpiga askari polisi bungeni.
Updates: Sugu karudishwa kwa RCO. RCO anasema uchunguzi haujakamilika kwa hiyo SUGU kaachiwa kwa dhamana hadi hapo atakapoitwa tena.
Updates: Katika kuongea na waandishi wa habari Lisu amesema ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba.
Updates: Sugu karudishwa kwa RCO. RCO anasema uchunguzi haujakamilika kwa hiyo SUGU kaachiwa kwa dhamana hadi hapo atakapoitwa tena.
Updates: Katika kuongea na waandishi wa habari Lisu amesema ni mbumbu wa sheria pekee ndie atakaethubutu kuipeleka kesi hiyo mahakamani kwani inaingilia haki na madaraka ya bunge kikatiba.