Sugu kuenguliwa kura za maoni

Sugu kuenguliwa kura za maoni

acha kuwashwa we mkundu sugu anakubalika sio tu mbeya yaan mkoa mzima kama huamini fuatilia mapokezi aliyoyapata wakati akiwashukuru wanambeya kwa kuichagua cdm ktk defokali za mitaa
 
Kumbe mkabila. Tanzania havumiliki huyo.
ukabila gani na upi huo kama sio majungu tu?MWACHENI JEMBE LETU SUGU BADO ANAHITAJIKA MBEYA NA HII SIO TETESI NI UHALISIA,KAMA HUTAKI NJOO MBEYA UPATE UKWELI.NI RAISI MBEYA MUULIZE MH.KANDORO ANALIFAHAMU HILI
 
Duhhh....!!!!! Hili nalo ni dhumuni la kuanzisha JF...??? Hata kama inauma sana lakini responce hii ni too much..!!! Mkuu kubali tu mawazo mbadala ndiyo dunia hiyo mkuu. Tumelelewa tofauti na tunawaza tofauti Mkuu...!!!!

Mtu kama huyo anastahili tu kujibiwa chochote.
 
we ni mkazi wa mby? au unakisia kisia tu hapa na ww uonekane umeitaja the grean city? ni vema ukauliza kwa cc wenyeji wa mbeya ufahamishwe, hakuna kipindi ambacho mby imewahi kung'ara kwa mitandao ya barabara km hv sasa, pum.bavu kaa kimya ww

mi nakaa soweto hapa Mbeya sugu hajafanya lolote barabara zilikuwepo toka enzi za mkoloni
 
acha kuwashwa we mkundu sugu anakubalika sio tu mbeya yaan mkoa mzima kama huamini fuatilia mapokezi aliyoyapata wakati akiwashukuru wanambeya kwa kuichagua cdm ktk defokali za mitaa

Sugu hakubaliki popote acha uongo
 
ukabila gani na upi huo kama sio majungu tu?MWACHENI JEMBE LETU SUGU BADO ANAHITAJIKA MBEYA NA HII SIO TETESI NI UHALISIA,KAMA HUTAKI NJOO MBEYA UPATE UKWELI.NI RAISI MBEYA MUULIZE MH.KANDORO ANALIFAHAMU HILI

Vijana wa Mwanjelwa hawataki hata kumuona Sugu
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote

Hizo tetesi umezipata kutoka wapi wakati sisi wana Mbeya tayari tushamchagua tena kuwa mbunge wa mbeya hata kabla ya october? Kijana wacha kuendekeza njaa, baada ya cc ya ccm kule zenji kuongeza posho kwa mnaoshinda mitandaoni kutoka sh 7000 hadi 10000 ndio mnaandika chochote?
 
CCM mbeya mtasubiri sana, nendeni tanga na pwani. Mbeya mtaiona kwa macho. Kumyitu kuleke
 
Jengo la kwanza lenye lift Mkoa wa mbeya limefunguliwa wakati wa sugu

Hahahaha
 
Unaanzia wapi kumuengua Sugu kwenye jimbo la Mbeya Mjini? Mimi najua kama Mbunge wa Viti Maalum, Mary Mwanjelwa analitaka kwa udi na uvumba Jimbo la Mbeya Mjini, ila hofu yake kubwa ni uwepo wa Sugu pale, ameshafanya mambo mengi sana ili kujaribu kumfunika Sugu lakini kachemsha.
Najua wewe utakuwa ni kijana wa Mary tu unayetaka kujaribu kuyapika majungu ukiamini unaweza kumchafua Sugu, lakini hamtapata kitu. Sugu anapendwa sana kwenye jimbo lake, na ndio maana hata alipopata ajali gari wana mbeya mjini walisema Mary ndio kajaribu kutupa kombora kwa sugu lakini kagonga mwamba.
Mbeya ni nchi, Rais Sugu.
Ova
 
Unaanzia wapi kumuengua Sugu kwenye jimbo la Mbeya Mjini? Mimi najua kama Mbunge wa Viti Maalum, Mary Mwanjelwa analitaka kwa udi na uvumba Jimbo la Mbeya Mjini, ila hofu yake kubwa ni uwepo wa Sugu pale, ameshafanya mambo mengi sana ili kujaribu kumfunika Sugu lakini kachemsha.
Najua wewe utakuwa ni kijana wa Mary tu unayetaka kujaribu kuyapika majungu ukiamini unaweza kumchafua Sugu, lakini hamtapata kitu. Sugu anapendwa sana kwenye jimbo lake, na ndio maana hata alipopata ajali gari wana mbeya mjini walisema Mary ndio kajaribu kutupa kombora kwa sugu lakini kagonga mwamba.
Mbeya ni nchi, Rais Sugu.
Ova

Tununuuuuuuuuuuuu
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote

Siasa za maji taka! kwani huyo alokutuma anaona kazi ni lazima awe mbungee?????? Kwani nyie hamuoni mambo mengine kibao ya kufanya????
OOHHHHH jimbo langu , Oooohh nalitaka jimbo??? Upumbavu mtupu!
 
Duhhh....!!!!! Hili nalo ni dhumuni la kuanzisha JF...??? Hata kama inauma sana lakini responce hii ni too much..!!! Mkuu kubali tu mawazo mbadala ndiyo dunia hiyo mkuu. Tumelelewa tofauti na tunawaza tofauti Mkuu...!!!!

sasa mbona unalalamika kama unajua hilo, kama wewe unaona response yake haifai jua na yeye ndio mawazo yake, vinginevyo angepigwa ban
 
Back
Top Bottom