Sugu kuenguliwa kura za maoni

Sugu kuenguliwa kura za maoni

Mmmmmmmmmmm!
Mimi natokea mbeya lakini sijaona wala kusikia habari kama hizo, na mimi binafsi naona kama jamaa bado anakubalika

utamu wa ngoma ingia ucheze, watuuliza tunaoishi mbeya SUGU ni zaidi raisi anaekataa aje mbeya amtukana sugu aone kama hatujamgeuza plant nutrients
 
Humjui Sugu wewe... Akiamua kugombea Segerea, Temeke, Kigamboni anachukua jimbo kiulaini! Wenzako wanamuita Rais wa Mbeya! .... Waulize Lekadutigite watakujuza mziki wa Sugu ukoje... Wambea wa Radio Mawingu walichanwa chanwa hadi wakasalimu amri ... Sugu is an Independent man ... Full Batallion haitaji msaada wa mtu yeyote kuwadondosha MAFISADI wa EPA, ESCROW na Majangili yaliyokubuhu... Chenge analoga sana lakini Sugu yuko Upande wa Mungu na haogopi Matendo na hila za MASHETANI CCM ....
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote

Unalala ukiwa CCM cha ajabu unaota ndoto za CHADEMA.
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote

Acha uongo we dada
 
hakuna wa kuenguliwa hapo!! ila ataongoja jopo kutwaa mbeya vijijini!!
 
we ni mwenzetu, unampenda sugu ila umeamua kuingiza uzi hapa ili upime upepo kama sugu bado yuko fiti ama la.
 
Amka wewe gamba unaota sasa hivi wakati jua linawaka.
Utakua una malaria imekupanda kichwani, wahi Hospitali usije ukawa kichaa sasa hivi.
Au ulikua unapiga ramli usingizini sangoma wako kakwambia hivyo, maana nyinyi kwa kuamini giza, hamjambo.
Tena mwambie asijaze bytes zetu na mambo ya wishful thinking, shenzy type!
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote

Kwani nafasi aliyonayo alichaguliwa na VIJANA tu?Tuachieni MBUNGE Wetu wenyewe.
 
sugu analoga sana

Ukiona unawaza KULOGA basi ujue wewe ni MCHAWI,na ndiyo maana MACCM sasa hivi mnaishia kuua ALBINO.Mna kazi kweli.Mwambie MARY aendelee tu kuwa MBUNGE wa viti maalum kwnai ije mvua au jua,SUGU atakuwa mbunge wetu mpaka achoke mwenyewe.
 
kijengeni kwanza chama na sio kukimbilia vyeo. Huyu sugu ni mchapa kazi ktk timu ya wabunge Wa cdm nani asyejua? Chadema kitakaposhika dola matatizo ya Vijana Tanzania yatashugulikiwa kama wanavyoapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom