Sugu kuenguliwa kura za maoni

Sugu kuenguliwa kura za maoni

litazane jiji la mbeya jinsi lilivyo sasa hivi na rudi miaka 5 iliyopita ndipo utagundua kuna mabadiriko anbayo kwetu sisi wana mbeya ni maendeleo na tunajivunia jiji letu tofauti na kipindi kile lilivyokua linaitwa jiji kisiasa na hii yote imefanyika chini ya uangalizi wa sugu sijui ww wa wapi unakuja na tetesi ,bila shaka utakua ni miongoni mwa wanaolipwa na ccm kuwachafua chadema,na suala la kutekeleza aliyoyasema wakati wa compaign sidhani kama kuna mbunge tz hii ametekeleza kila aliachoahidi wakati wa compaign ndani ya miaka 5 kwani hata raisi alituahidi watu wa kyela kutuletea meli itakayokua inabeba abiria si chini ya 400! iko wapi? pia ukumbuke kua kuna bunge la budget na tukitaka kila mbunge atekeleze kile alichoahidi basi budget ya tz nzima inaweza ikaishia mbeya tuu
 
wanachadema uchu wa madaraka unawatafuna na kwa mtindo huo wa kurumbana hamfiki popote .mkisalitiana kura za maoni ni dalili tosha za kusalitiana uchaguzi mkuu.waache kutumia ukabila uongozi wa juu ambao wamembatilisha zito kwa lengo la kutaka kung'ang'ania madarak ya cham
 
Sugu moto chini aha Sugu moto chini aha aha aha ni moto chini! Ni nani Sugu na nani Waweru !
 
Umesikia vibaya ila tetesi yenyewe ni kuwa baba yako kaenguliwa na mama yako kisa hawajibiki ipasavyo halafu kuna taarifa kuwa anatafuta namba yangu ya simu mwambie mi nina mke arudi tu kwa babayo hata kama hajiwezi.

Duhhh....!!!!! Hili nalo ni dhumuni la kuanzisha JF...??? Hata kama inauma sana lakini responce hii ni too much..!!! Mkuu kubali tu mawazo mbadala ndiyo dunia hiyo mkuu. Tumelelewa tofauti na tunawaza tofauti Mkuu...!!!!
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote
Kajipange tena urudi na propaganda za kiccm kivingine
 
Mleta mada umevurugwa,unasema tetesi halafu mwishoni unamalizia kwa kusema atupishe,ina maana hayo ni mawazo yako na sio ya wana mbeya. Kama sikosei utakuwa gamba unayejificha kwa mwamvuli wa cdm.
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote
Kumbe mkabila. Tanzania havumiliki huyo.
 
wanachadema uchu wa madaraka unawatafuna na kwa mtindo huo wa kurumbana hamfiki popote .mkisalitiana kura za maoni ni dalili tosha za kusalitiana uchaguzi mkuu.waache kutumia ukabila uongozi wa juu ambao wamembatilisha zito kwa lengo la kutaka kung'ang'ania madarak ya cham

Naona umeamua kumfariji gamba mwenzio mleta uharo
 
Sugu hakuna.lolote alilofanya mbeya

we ni mkazi wa mby? au unakisia kisia tu hapa na ww uonekane umeitaja the grean city? ni vema ukauliza kwa cc wenyeji wa mbeya ufahamishwe, hakuna kipindi ambacho mby imewahi kung'ara kwa mitandao ya barabara km hv sasa, pum.bavu kaa kimya ww
 
Tetesi zilizopo ndani ya CHADEMA zinasema nilazima sugu aenguliwe kwenye kura za maoni kutokana na vijana kuona kwamba mambo waliyotegemea kufanywa na sugu kushindikana. madai ya msingi ni kwamba amekua mbali na vijana waliojitolea mda na mali zao kuhakikisha anashinda uchaguzi wa 2010 na kuendelea kumkumbatia mwenyekiti anayeejiita mzee wa upako hata pale inapodhihirika mzee huyo kufuja pesa za chama.Madai mengine ni kwamba amekua akipanga safu ya uongozi waitakayo akishirikiana na mwambigija kitu kilijojidhihirisha wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama na serikali za mitaa,vilevile wakati wa uchaguzi wa katibu BAVICHA sugu na MWAMBIGIJA walithubutu kutumia hata ukabila ili kuwaengua baadhi ya wagombea,vitend hivi vimetuudhi vijana na tutahakikisha ili kuleta usawa ndani ya chama SUGU atupishe maana hiki chama ni chetu sote
acha unafki wewe SUGU na ukabila wapi na wap?yeye mkinga,mwambigija mnyakyusa,na mkoa wa mbeya makabila ya asili ni wanyakyusa,wasafwa,wandali ,wanyiha,walambya,wanyamwanga na wahamiaji.sasa tuambie Sugu anafanya ukabila kwa kutumia kabila gani?acha unaa
 
Sugu hana uwezo wa kuoniza na hajafanya la maana mbeya. Sema hata ccm mbeya hawajajipanga kwa hiyo cdm inaweza kupita kirahsi tu

we ni mkazi wa mby? njo uone mby inavo pwndeza hv sasa kwa mtandao wa barabara, sugu is our president.....mby is our country
 
Kumwengua Mbunge yeyote wa upinzani bara kwenye kura ya maoni ni kukipa CCM kitu hicho cha Ubunge.

Hii ni kwa sababu vyovyote vile performance ya mbunge huyo ilivyokuwa lakin atakuwa na mtaji wa watu wake aliokaa nao vizuri kwa miaka hii mitano na atakuwa na rasilimali pesa ambayo si wengi kwenye upinzani wanayo.

Hivyo kuenguliwa kwake kutafanya Mbunge huyo agombee ubunge kwa cham kingine na kugawana kura na mgombea wa chama chake cha sasa na hivyo jimbo hilo kuchukuliwa kiulaini na chama cha Mapinduzi.

Siijuu performance ya Sugu Mbeya ila vyovyote ilivyo kutomteua itakuwa ni kulirudisha jimbo la Mbeya Mjini mikononi mwa CCM maana kama akikatwa tegemea kumuona Sugu kamagombea kwa chama cha NCCR, CUF, ACT au chochote na naamini mtaji wa kuanzia anao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom