mpigakura mlipakodi
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 143
- 34
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?
Hivi unaelewa kweli hata kitu ulichokiuliza hapo?unajielewa kweli wewe?,hivi watu watajaaje Kama hauna sera?
[/QUOTE]Haya ndio aliyosema Zitto kuhusu fisadi Mbowe."Lissu anasema nimepewa magari
2 na Mzee Mkono. Anasema
kaambiwa na Mkono. Naamini
Mkono alimwambia pia mwaka
2005 alimpa Freeman Aikaeli
Mbowe tshs 40m ili Mbowe
asifanye kampeni Musoma vijijini.
Nadhani alimwambia pia mwaka
2008 (baada ya orodha ya
mafisadi kutangazwa 2007) Mkono
alimpa Freeman tshs 20m za
uchaguzi wa Tarime na Freeman
akasema kwenye chama ametoa
mkopo na akalipwa. Nadhani
alimwambia pia kuwa Mwaka 2010
Mkono alimpa Mbowe tshs 200m
za kampeni ya Slaa. Pia
hakusahau kumwambia kuwa
Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs
100m za kampeni. Lissu anajua
kuwa gazeti la Tanzania Daima
limeanzishwa na fedha za chama
kutoka Conservative party?
Nimefanya internship yangu kwa
Mkono and Company Advocates
kuhusu masuala ya mikataba.
Mzee Mkono ni Mzee wangu na
alisaini petition ya kumtoa Waziri
Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma
wamwambie ukweli wote. Lissu
ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi
namtaka mama wa kifaranga
ajitokeze. Aeleze aliingia deal gani
na Kinana na Sumaye mwaka 2005
kufuatia deni lake NSSF. Aweke
wazi mkataba kati yake na NHC
kuhusu nyumba ya Umma ilipo
Club Bilicanas.
They must know I am not a push
over. Chacha died, I won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu
mke wake aliyemzalia watoto
hawezi kunyooshea mtu kidole
kuhusu maadili
Safi Sugu, miaka miwili kwenye chama amefanya kazi ya ZZK ya miaka yote!
Hakuna zaidi ya siasa chafu tu hapa tatizo vyama vyetu katika saa moja jukwaani nusu saa ni kuponda mwingine dk 20 kujisifu na dk 10 hoja za maendeleo.yy ndo anampa umaarufu zitto kwa kumuongelea si angekaa kimya asubiri aje aumbuke yani dhahiri anagawa ukanda kisasa mchana kweupe
Unaota wewe...hivi unafananisha ile zero ya std 7 na distinction ya zzk
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?
Dondoka na picha mkunduguyangu
Akili yako haina tofauti na hiyo log in name yako.Namfananisha SUGU na Bendera ambayo inategemea upepo ili kujua muelekeo wake.