Sugu atikisa Makambako

Sugu atikisa Makambako

Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?

Hivi unaelewa kweli hata kitu ulichokiuliza hapo?unajielewa kweli wewe?,hivi watu watajaaje Kama hauna sera?
 
Ukishindwa kupima kwa mambo yanayoonekana, plz usijisumbue kwa yasiyoonekana wewe siyo yesu au mungu, wengi tunapongeza chadema, iweje wewe peke yako!
 
Haya ndio aliyosema Zitto kuhusu fisadi Mbowe."Lissu anasema nimepewa magari
2 na Mzee Mkono. Anasema
kaambiwa na Mkono. Naamini
Mkono alimwambia pia mwaka
2005 alimpa Freeman Aikaeli
Mbowe tshs 40m ili Mbowe
asifanye kampeni Musoma vijijini.
Nadhani alimwambia pia mwaka
2008 (baada ya orodha ya
mafisadi kutangazwa 2007) Mkono
alimpa Freeman tshs 20m za
uchaguzi wa Tarime na Freeman
akasema kwenye chama ametoa
mkopo na akalipwa. Nadhani
alimwambia pia kuwa Mwaka 2010
Mkono alimpa Mbowe tshs 200m
za kampeni ya Slaa. Pia
hakusahau kumwambia kuwa
Rostam Aziz alimpa Mbowe tshs
100m za kampeni. Lissu anajua
kuwa gazeti la Tanzania Daima
limeanzishwa na fedha za chama
kutoka Conservative party?
Nimefanya internship yangu kwa
Mkono and Company Advocates
kuhusu masuala ya mikataba.
Mzee Mkono ni Mzee wangu na
alisaini petition ya kumtoa Waziri
Mkuu Pinda.
Lissu awaambie waliyemtuma
wamwambie ukweli wote. Lissu
ajue yeye ni kifaranga tu, Mimi
namtaka mama wa kifaranga
ajitokeze. Aeleze aliingia deal gani
na Kinana na Sumaye mwaka 2005
kufuatia deni lake NSSF. Aweke
wazi mkataba kati yake na NHC
kuhusu nyumba ya Umma ilipo
Club Bilicanas.
They must know I am not a push
over. Chacha died, I won't.
Mtu ambaye hawezi kuheshimu
mke wake aliyemzalia watoto
hawezi kunyooshea mtu kidole
kuhusu maadili
[/QUOTE]

Ingekuwa ni chakula ningeuita mchemsho.
aneweiy zito jumba ndo lishamuwakia akiwa ndani, maneno haya angesema hali ya hewa akiwa safi tungemuamini, lakini sasa ni sawa na kuifukuzia meli kwa kupiga mbizi.
 
anasifika pia kwa uwezo wake wa kuzuwia pombe kali tofauti na c.c.m kuanzia kiti hadi wasinziao.bora kidogo lembeli
 
Hakuna zaidi ya siasa chafu tu hapa tatizo vyama vyetu katika saa moja jukwaani nusu saa ni kuponda mwingine dk 20 kujisifu na dk 10 hoja za maendeleo.yy ndo anampa umaarufu zitto kwa kumuongelea si angekaa kimya asubiri aje aumbuke yani dhahiri anagawa ukanda kisasa mchana kweupe

Hapo kwenye red: Shetani lazima atajwe wazi wazi tena hadharani ili watu wamjue na kuepukana naye...Zitto ni shetani lazima kila mtu amjue shetani na hila zake..
 
Ingekuwa ni chakula ningeuita mchemsho.
aneweiy zito jumba ndo lishamuwakia akiwa ndani, maneno haya angesema hali ya hewa akiwa safi tungemuamini, lakini sasa ni sawa na kuifukuzia meli kwa kupiga mbizi.[/QUOTE]

Hahahaa nilikata kusema the same, ila umeiiweka sawa zaidi, kufukuzia meli kwa kupiga mbizi..
 
Namfananisha SUGU na Bendera ambayo inategemea upepo ili kujua muelekeo wake.
 
Hivi ni kweli tumefika mahali ambapo uwezo wa mtu kisisasa unapimwa kwa idadi ya watu waliohudhuria mkutano wake na si hoja zake au matendo yake?

ko wewe unadhani wanao kusanyika hawajapima hoja na matendo ya Sugu wamekubali ndo mana wanafulika muache muwakilishi wa vijana na watanzania wa chini azidi ku shine
 
Back
Top Bottom